Recent content by Wa nyangere

  1. W

    Jina langu likikatwa nitamuunga mkono mh.wasira

    hakika wasira ni aina ya viongozi tunao wataka,nadhani akitangaza nia atapata wafuasi wengi,na kwa mtazamo wangu nadhani ni bora kuliko wote wanao tajwa.
  2. W

    Jimbo la Bumburi: Mhandisi kumvaa January Makamba

    January ni tatizo kuliko matatizo tuliyo nayo bumbuli ugomvi wa baba yake na shelukindo umetuathiri sana wananchi,umepekea kiwanda cha chai kufungwa, hakuna alichofanya bumbuli miaka yote mitano zaidi ya kuwagawa wananchi, hawezi kamwe kushinda bumbuli asahau ubunge.
  3. W

    Wakazi wa Musoma Mjini wamuomba Prof Sospeter Muhongo kugombea ubunge

    Naunga mkono asilmia 100% kama mzaliwa wa musoma mjini, muhongo atatufaa sana sio huyu muhuni wa sasa,jimbo lina wasomi kibao hatuwezi kuongozwa na darasa la saba kwa kivuli cha mwalimu NOO!@
  4. W

    Kwa nini yashindikane kwa wengine yawezekane kwa wassira tu?

    hakika huyu jamaaa ni jembe anajitahidi sana kwa muda mfupi alio kaa kilimo ameweza kutatua maswala makubwa mawili kwanza issue ya sukari pili malipo ya wakulima, hizi zilikuwa kero kongwe wizara ya kilomo. Hata mimi nadhani ipo haja ya kumfikiria wasira katika swala la uraisi.
  5. W

    Wassira: Nitagombea urais 2015

    Nakupongeza kwa kujitahidi kumuelezea wasira hakika umemtendea, Kwa sifa hizo anafaa kuwa raisi.achana na huo upuuzi mwingine.
  6. W

    Wassira ni kiongozi bora!

    Kama watanzania wanataka maendeleo ya kweli na mtu sahihi zaidi,nadhani wasira anatufaa kama taifa.
  7. W

    Nyerere ajificha kwa Wassira

    Wasira Ana uwezo wa kuwaongoza watanzania japo anaweza kuwa si Sawa na nyerere.
  8. W

    January Makamba: Mlilia urais aliyeshindwa kuongoza Wizara

    Makamba longolongo nyingi Lakini uwezo wake mdogo Hana kitu tangible cha kujivinia alicho saidia wananchi **** waziri. Kaharibu jimbo la bumbuli migogoro ya wakulima wa chai imekuwa maradufu, ubunge bumbuli hatakuchagui tena , urasi Sio simple kiasi hicho akaandike vitabu uwezo wa kuongoza Hana.
  9. W

    Wassira atangaza Neema: Wakulima kulipwa Billion 86

    Hizo hoja zako haziwasaidiii wananchi , wananchi wataka mazao Yao yanunuliwe, Hizo porojo zako hazitusaidii mrudishie aliyekutuma sisi tunataka viongizi wanao kuja na solutions za kero za wananchi.
  10. W

    Wassira atangaza Neema: Wakulima kulipwa Billion 86

    Sisi wakulima wa mahindi wa mkoa wa ruvuma tumefarijika sana na kauli ya muheshimiwa wasira, anaonyesha Dhana ya uongozi, watu kama hawa ni hazina kwa taifa. Nilipo Sikia kauli hiyo nilishaanga alikuwa Wapi jakaya ?? Maana wasira Ndio suluhisho pekee la wakulima kwa kuwa ni mkulima ,anajua shida...
  11. W

    Pinda na Membe Hapatoshi: Waapa kushughulikiana katika mbio za 2015

    membe na mwenzie pinda wote hawana sifa za kuliongoza taifa.wavutane tu lakini wote hawana sifa, watu pekee walio bakia katika mbio hizo ni wasira na lowasa ,Hata hivyo ukimya wa lowasa katika swala la escrow linaacha maswali mengi kwa umma juu ya uadilifu wake ,hivyo kumuuacha wasira kuwa...
  12. W

    Pinda ni kiongozi dhaifu maradufu

    Ni mmoja wa watuhumiwa wa escrow kabebwa funika Kombe mwanaharamu apite, amejipunguzia heshima kwa taifa alipaswa kuachia ngazi, uwezo wake wa kiutendaji mdogo sana.
  13. W

    Kheri kuwa Masikini unaeheshimika kuliko kuwa Tajiri unayetukanwa-Wassira

    Mzee huyu anatufaaa jamani, akijotekeza watanzania tumpe nafasi..kaonyesha kabisa Ni m2 mwenye maslahi ya taifa
  14. W

    Wassira aingia Monduli (kwa Lowassa), apokelewa kwa kishindo

    Nani kakwambia bunda maji Hamna...??? Acha kutusemea sisi wananchi wa bunda.
  15. W

    Wassira aingia Monduli (kwa Lowassa), apokelewa kwa kishindo

    Wasira, nashawishika kusema huyu mzee Ndio chaguo sahihi kwa watanzania.. Ni moja Kati ya viongizi wachache wenye maono tulio baki nao.
Back
Top Bottom