Recent content by WA MILELE

  1. W

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa mpira Tanzania ni masikini sana

    Mimi kama nabii mwenye uwezo wa kuona mbali naziona siku zako za kuishi sio nyingi hufiki mwanka 2025 utakua umekufa Cha kukushauli hizo Mali ulizonazo anza kugawa ulithi kama unawatoto nimemaliza. NB usipuuze maneno yangu
  2. W

    JamiiForums Tanzania Nikimwangalia Mutale namwona Saido, ni kama "chumvi" na "mkubwa jiko", Balua ni wa "ligi kuu" tu anga za kimataifa zinampwaya

    Mkuu umemsahau Valentino Mashaka huyo ndo ugoro kabisa
  3. W

    JamiiForums Tanzania Al ahly Tripoli ni timu tishio sio tu kwa simba bali kwenye michuano yote. Simba isipokuwa makini itasambaratika na migogoro itaanza

    Simba wanafuvu kiulaini tena washinda kuanzia gori mbili
  4. W

    JamiiForums Tanzania Tatu Malogo, mwamuzi mbovu kuwahi kutokea Tanzania

    Angalia vizur hamna alieotea
  5. W

    JamiiForums Tanzania Gamond boys leo wamewaka, wametupia magoli kwenye mataifa yao

    Sio Tanzania yanga
  6. W

    JamiiForums Tanzania Taifa Stars (Nyota)wameibuka vinara dhidhi ya Guinea kwa ushindi wa 2 - 1

    Sasa huu uchambuzi Gani? Yaani ulichokifanaya mtu umeangalia nae movie halafu unafika nyumbani unaanza kimsimlia movie ile ile mlotoka kuiangalia.
  7. W

    JamiiForums Tanzania Watu wa Mpira Bongo jifunzeni Kifaransa. Mtaendelea kuaibika mpaka lini?

    Msamehe halijui alitendalo
  8. W

    JamiiForums Tanzania Hodi humu, naomba mnipokee mgeni

    Asante mkuu. Halafu mkuu mbona kila MGENI hapa jf wewe ndo huwa wa kwanza kumpokea ?
  9. W

    JamiiForums Tanzania Hodi humu, naomba mnipokee mgeni

    Kumbe nawewe kama Mimi
  10. W

    JamiiForums Tanzania FT: Guinea 1-2 Taifa Stars | Kufuzu AFCON 2025 | Septemba 10, 2024| Charles Konan Banny Stadium

    Tanzania imenichania mkeka wangu nimeikosa laki 4 hivi hivi inaniuma😥😥😥😥
  11. W

    JamiiForums Tanzania Hodi humu, naomba mnipokee mgeni

    Ninafuraha Sana kuwa member wa jamiiforms nimekuwa nikitamani Sana kujiunga humu hatimae Leo nimefanikiwa naombeni mnipokee wakubwa.
Back
Top Bottom