sasa hivi huu mfumo ni kama siuamini tena ni dili la tatu leo nakwama ila yale mengine yasiokua na faida na umuhimu yapo tu
hapo ilikua kasoro dk 6 mda ufike
samahani mkuu,watu tunatofautiana kufikiria lakini ngoja nikuulize kwani huyo mtoto mazingira aliyopo sasa hivi ananyayasika? kama sio hivyo basi achana na kumuwazia huyo mtoto kabisa badala yake hizo hela ulizokua unatoa kumhudumia fanya maswala mengine ya msingi au kunywa hata pombe kila mwsho...
ni kampuni gani ya majiko haya ni zuri saiz hio hio 50×50 liwe na plate za ges na ya umeme moja,liwe na uwezo wa kuoka/kuchoma nyama na bei yake ni kiasi gani
nafikiri zinazuia baadhi ya ndege kutua kwenye bati ili wasinyeee bati ambapo bati huchafuka na kupata kutu sasa hizo nyaya wanaweka kwenye migongo ya bati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.