Recent content by Wa maskani

  1. Wa maskani

    Natafuta kiwanja cha kujenga Mwanza

    Nimeina sehemu hii
  2. Wa maskani

    Niambie kitabu chochote unachokihitaji nikutafutie

    Nitafutie KISASI Aliandika FRANK MUSHI sehemu ya KWANZA na ya PILI
  3. Wa maskani

    Uuzaji wa viwanja kwa mfumo wa TAUSI ni kama kuna michezo hivi

    sasa hivi huu mfumo ni kama siuamini tena ni dili la tatu leo nakwama ila yale mengine yasiokua na faida na umuhimu yapo tu hapo ilikua kasoro dk 6 mda ufike
  4. Wa maskani

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    samahani mkuu,watu tunatofautiana kufikiria lakini ngoja nikuulize kwani huyo mtoto mazingira aliyopo sasa hivi ananyayasika? kama sio hivyo basi achana na kumuwazia huyo mtoto kabisa badala yake hizo hela ulizokua unatoa kumhudumia fanya maswala mengine ya msingi au kunywa hata pombe kila mwsho...
  5. Wa maskani

    Pikipiki ya kuchaji inauzwa 700000

    mkuu kuna laki tano chaaap tumalize hii biashara
  6. Wa maskani

    Nauza Home appliances & Kitchen appliance kwa bei nafuu sana!

    ni kampuni gani ya majiko haya ni zuri saiz hio hio 50×50 liwe na plate za ges na ya umeme moja,liwe na uwezo wa kuoka/kuchoma nyama na bei yake ni kiasi gani
  7. Wa maskani

    Nauza vitabu hivi kwa lugha ya kiswahili

    nikituma pesa halafu usipatikane je,? halafu unatuma hivyo vitabu kwa njia gan
  8. Wa maskani

    Tunauza Friji na Freezer kwa bei nafuu

    396L 1M itakufaa?
  9. Wa maskani

    Tunauza Friji na Freezer kwa bei nafuu

    samahani.hakuna au hauna
  10. Wa maskani

    Tunauza Friji na Freezer kwa bei nafuu

    hisense ya saiz hii ni bei gan au homebase
  11. Wa maskani

    Kuuliza Si Ujinga

    nafikiri zinazuia baadhi ya ndege kutua kwenye bati ili wasinyeee bati ambapo bati huchafuka na kupata kutu sasa hizo nyaya wanaweka kwenye migongo ya bati
  12. Wa maskani

    Ukipoteza Meno huna Ulazima wa Kubaki na Mapengo Kuna Suluhisho la Kudumu

    sijui kama ni hayo 24 ndio yamebakia ila daktari hajanipa bei ni vyema angeandika makadirio hapa ili na wengne wajui na waelewe thamani ya meno
  13. Wa maskani

    Ukipoteza Meno huna Ulazima wa Kubaki na Mapengo Kuna Suluhisho la Kudumu

    garama ya kuweka meno 8 ni shngap niandae ikiwemo ya kumuona daktari yale ya bei ndogo ikifatiwq na ya bei ya kat
  14. Wa maskani

    ChatGPT Ime-jam na kuchanganyikiwa baada ya kuiuliza swali hili fupi

    10,007=kumi elfu na saba. 17,000=kumi na saba elfu. bwashee hujui haya mamboo
Back
Top Bottom