Gari ni ya 2009 grade 4.2, Km 58,000. Na zaidi ya hapo Gari zimepanda bei sana. Niliilinganisha bei kutoka kampuni mbali mbali kwangu nikaona hiyo ndio ilikuwa bora. Yaani hiyo 22M ni gari kunifikia mkononi ikiwa imekamilika kila kitu ikiwemo service ya Oil na Filter, Leather seats, android...
Wadau gharama za gari zimepanda sana kuanzia, kodi, Shipping na CIF yenyewe.
Lkn pia zilikuwepo mpaka za 17.8M nyingine hadi 35M ni uamuzi tu wa kile unachokihitaji wewe
Wadau nilileta uzi humu wa kuomba ushauri kuhusu ni gari gani nianze nayo. Wengi mlinishauri maoni mbalimbali na sasa namshukuru Mungu nimefanikiwa kununua Nissan Duals cc 2000 kutoka Japan. Niliagiza mwenyewe hlf nikatafuta wakala wa kuitoa bandarini wala hapakuwa na usumbufu wowote...
Kuna jamaa kanitumia hii gari inbox kesem naweza kuifikisha Dar mpaka registration kwa mil 14-15.
Make:
SUBARU
Model:
FORESTER - SG5
Body Type:
SUV
Year of Manufacture:
2005
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.