Hicho kitabu ndo kila kitu kwa waislam na ndio muongozo sahihi wa dini ya kiislam, haijilishi amekinunua yeye au la, Kosa kubwa kachana hadharani, ni sawa na kununua katiba ya nchi afu unaichana hadharani.
even kuchana pesa hadharani uliotafta wewe kwa jasho lako ni kosa
lazima afukuzwe kazi mana anaowahudumia ni watu na wanadini na miongini mwao waislam wakiwepo,
amekiuka maadili ya kazi
hawezi toa huduma kwa usawa that why anachuki ya kidini
Kwa kawaida huyo jamaa kwa kitendo alichokifanya hatakiwi hata kurudi tena kwenye kazi, inaonesha wazi ni jinsi gani hata kwenye kutoa huduma atakua alikuwa anaegemea upande moja,
serikali lazima iingilie masuala ya kidini tu njena hapo amani haitakuwepo. unafikiri huyo jamaa asingekuwa chini...
Kuna kitu kinaitwa Ethical issues amevuja maadili jamii lazma, uheshimu dini nyingine hata kama wewe sio muumini wa dini hiyo.
kile kitabu sio kama vile vya nyambari nyangwine, au riwaya na tamthilia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.