habari zenu wakuu
nahitaji gari aina ya ist bajeti yangu 6.5
nikipata direct kutoka kwa muuzaji itapendeza zaidi maana najua mambo ya ma dalali 0745906009
na kwa gharama hizo ni bora utafute nyumba ya kupanga ya kawaida hata sinza huko ila nyumba za nhc bila hela uwezi kupata kupangishwa na wao lazima uandae milion kadhaa ndio upate wakati iyo milion yako kadhaa ushalipa kodi yako ya miez 6 na chenchi inabaki… ila if you’re interested nicheki pm...
si bora huko wanakata mara moja huku kimara wanakata umeme baada ya lisaa wanaurudisha wanakata tena wanarudisha yaani wamefanya kama kamchezo nahisi kuna mtoto watakua wamemuachia achezee umeme … tanesco acheni huo utoto mnatuunguzia vitu vyetu siku ya 3 leo mnafanya huo mchezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.