Mawazo ya kijinga kiwango cha Lami, wewe unavyoonekana utakuwa unalishwa na kuvalishwa basha wa dada yako !!
Deni halilipwi na ndege itaachiliwa.... kama na wewe ni mnufaika wa hilo dili ujue tayari limeishabuma, anzeni kuhama nchi maana lazima mkaozee jela kwa uhujumu uchumi !!
Mkuu Pole sana... Navyofahamu Mwezi itakuwa ni kupata jina tu, bado sasa ujaanza kuzungurushwa, nenda rudi nenda rudi hadi miezi sita itaka uko hapo hapo tuu.
Mkuu... ni kweli kabisa kwa sababu kama umeingia kwa Qualifications huwezi haribu Carrier kwa kujibu watu vibaya namna ile... watakuwa hawajasoma na wameletwa na ndugu zao tu hapo.
Kiukweli hiyo ndio hali halisi ya pale BRELA... alipokuwepo Waziri Kaijage, kulikuwa nafuu sana lakini huyu aliyepo ni balaa, sijui wanamdharau sana au hajui kazi yake ni nini. Mi nashangaa kuna mtu anasema..... System ndio Tatizo mimi binafsi naona kabisa System ndio mkombozi wetu sisi wafanya...
Kiongozi hili ndio hasa linafanyika... Serikali inapata pesa kidogo sana ukilinganisha na pesa inayoingia mifukoni mwa hawa Staff wa Brela. unaambiwa wale jamaa pale Brela ni Matajiri kuliko unavyoweza kufikiria.
Yaani bado nafikiria haya majibu ya
"unajua computer wewe? Tafuta mtu akusaidie, mimi huwezi kunielewa"
"kwani wewe una documents gani hapo, usiniulize mimi we ambatanisha tu"
Kiukweli wanatuona wa-Tanzania kama vile wote ni wajinga kama walivyo wao..... washenzi sana hawa
Dah... Kiongozi utakuwa na Bahati sana kama umeishasajili makampuni 11, Hongera sana.
Kiukweli Mfumo wote wa ORS ni mzuri sana, tena sana.... ujue ulitakiwa kusajili Kampuni 11 ndani ya saa moja tu na wala sio Mwaka mzima, kwa sababu kitendo cha ku-Scan na ku-Upload hata kama una Kampuni, 15 ni...
Pole sana Mkuu.... Kiukweli wanatutesa sana, wewe usikate tamaa, dawa ni kuwaanika tu sasa hivi, hakuna kuwaonea huruma sasa kama wanakusababishia unapoteza uaminifu kwa Mteja wako ujue ni shida kubwa sana.
Hawa wateja wetu ndio wanaotuweka mjini, ndio wanafanya Ofisi zetu ziwepo. Kaka komaa...
Kiongozi tujitahidi kuweka hii thread kwenye mitandao ya kijamii (WhatsApps, Instagram, Pen, Facebook, nk )mara nyingi iwezekanavyo ili Taarifa ziwafikie wahusika watoa maamuzi, wafanye ya kwao. Mimi nimeishaanza kazi hii.
Mimi kwa sababu wamenikwamisha zaidi ya mwaka sasa... nimeamua huu uzi kuusambaza kwenye magrupu ya whatsapp na mitandao mingine ya kijamii ili uwafikie watu wengi iwezekananvyo, najua ukitembea sana basi Magufuli ataupata inaweza ikatusaidia kwa kiwango flani.... kwa hiyo mkuu tujitahidi...
Kiongozi ni kwamba.... Utamaliza hiyo kazi yako baada ya miezi, sio mwezi tena, we si unaendelea kwenda pale BRELA, utaniambia, watakusumbua wewe hadi utakoma mwenyewe. Sasa hata ukiwa na hizo docs... Kitambulisho cha NIDA, na nyingine nyingi tu watakwambia kajaze hayo ma-form yao ndio hapo sasa...
Kiongozi kwenye hizi Taasis... Naona kama bado kabisa hatujafikia hatua ya kujivunia kuwa kuna Taasis inafanya kazi vizuri, wafanyakazi wamekuwa kama majambazi yanayopora haki zetu, Ukienda SUMATRA Shida, Ukienda TANESCO Shida, Ukienda TRA Shida, Ukienda NIDA Shida.... alafu tunaendelea...
Mkuu.... Huyo jamaa waliomwambia awasilishe document ukute aliwaachia pesa, wale hawafanyi kazi bure hata kama wanakujua, Sijui kwanini Rais John Pombe Joseph Magufuli hajapata hii taarifa wakati kila siku watu wanawalalamikia. au wasaidizi wa Magufuli nao pia ni wazembe pia ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.