Watanzania tunabahati kwani tumeonja marais wa namna mbalimbali. mwanadiplomasia JK kaondoka juzi juzi tu hivi katuachia nini cha maana? Tuache kujifanya tumezaliwa jana. Kama huna la kusema hata kukaa kimya pia ni kufikisha mawazo
Labda effectiveness ya kutowataja hadharani ilikua ni ipi ambayo kwa sasa kwa vile wanatajwa (anatajwatajwa) imetoweka? kama kuna faida maridhawa taifa lilipata kwa kutowataja na sasa linapata hasara kwa kuwatajataja basi mjadala utakua na tija.
Ni mala chache sana wanaopatwa na mikasa hiyo kuwa ni wasichana wenye akili na wanaojituma.
Wengi wa wahanga ni wale wenye kupenda vya mtelezo na kujirusha sanaaaaaaa huku wakisubili busara za lecturers ziwaokoe. Wengi wao huwa wamefeli na hujipeleka wenyewe kulia lia kuomba wasaidiwe ndipo...
Hivi vyama vya siasa mmeshindwa kuweka mawakala kila kituo? vipi zile karatasi za matokeo zinazibandikwa nje ya kila kituo na wakala kupewa nakala mnashindwa kuzipata? tuache kulalamika kwa kupayuka tu. waamvie mawakala wakusanye matokeo ya kila kituo kisha leteni hapa data zote na vielelezo...
Uko tayari kumwachia mkeo baunsa? Yaani kwa kuwa wanaweza kutufanya lolote tuwaache watufanyie hata viaivyotufaaa. Nyerere aliondoka na busara zake kwa kweli.
Kabla ya kufanya yote hayo, naomba mumwambie Mheshimiwa kuwa kwanza ahakikishe gharama za kuunganisha mitandao tofati ni sawa na za kupiga mtandao mmoja na pia ahakikishe bundle zote za simu zinakata across. La sivyo ni maigizo. Nina watu muhimu wako Vodacom, wengine wako airtel na wengine wako...
Tofauti yetu na wanamagharibi ni kuwa upinzani wetu wa kisiasa unatufanya tuwe vipofu na kutoitakia mema taifa letu. Watu wanasali wakiomba mipango iharibike ili wawe na cha kusema
Nchi inapoteza uhuru wewe unachekelea? Hata congo anayepigana sio Marekani wala ufaransa lkn waulize kwanini wanauana? Utasikia marekani anachangia wapigane wewe uko hapa unachekelea
Unadaiwa mkopo kisha ukahamia CCM harafu mkopo unajilipa au? Yeye Lowasa alisemwa amehama baada ya kununua uongozi wa CHADEMA, je ilikua kwel? Kama kwake sio kweli basi hata huyu sio kweli pia
i
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.