Storika nafahamu wewe ni mmoja wa wenye hizi platforms, nitakutafuta tu PM lakini tafadhali huu mjadala hebu kwanza tuufanye hapa kwa manufaa ya vijana wengi wanaotamani kujiajiri na hii mitandao lakini hawajui wafanyeje.
Pamoja na kwamba mimi ni mgeni humu lakini naomba kupata mawazo juu ya uchapishaji kazi za sanaa online hususani vitabu, njia ambayo inaonekana sasa kuwa mkombozi kwa watunzi wengi tofauti na zile zama za giza ambazo ilimpasa mtu apige kwanza magoti kwa makampuni makubwa ndipo kazi yake iweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.