Hizi nyumba zilishajengwa zaman n nzur hazina shida zinapunguza gharama ila kuna zile pacha wa hiz tempolary utafurah kama utakuw na bajet nzur na ukapat fund mzur ila ukipata makanjnj utalia
Kwanza nimesoma baadhi ya comment umesema upo mkoa wa mbeya huko kidogo ujenzi ni rahisi…
Kwanza inabid ufahamu kuwa ujenzi sio garama kubwa gharama zinaletwa na ww kwa kuruhusu wizi na usimamiz hafifi
Ukisema utafte mtaalam ( alisoma ana vidigirii na vi dploma kaofisi kidogo na ka mkataba)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.