Recent content by Viviane

  1. V

    Geor Davie ni nani?

    Mna maanisha nini kusema analindwa? Mimi naona hiyo ni style yake. Ni kama vile mtu anavyoamua kutembea kwake azungukwe na wazee au vijana au watoto. Kama angekuwa analindwa basi wale watu wange beba bunduki, bastola, mashoka, rungu, panga n.k. kwani ulinzi maana yake nini? mmesahau neno la...
  2. V

    Geor Davie ni nani?

    Kweli kuhusu nini. Huenda ikawa wewe ni mmojawapo wa wale wanaozusha Nabii GeorDavie amemchukua mke wa mtu. Kama Huyo bwana alikataa mke asichukue watoto huyo mama ajinyonge. Watoto wakiteseka huyo mume ndiye atakayedaiwa kwani yeye ndie aliyeivunja nyumba pia akaona haitoshi akamnyang'anya mama...
  3. V

    Geor Davie ni nani?

    Eti kuna mtu alimnyang'anya mke....Huyo anayedai alichukuliwa mke alikuwa wapi??? watu wengine wakipata wake wazuri kazi kuwapiga ovyo na kuwatesa...mwanamke ameamua kujishika kisawasawa na Mungu wake. oooh nimenyang'anywa!!! alifikiri mke ni kibega!! ulipokuwa unampiga na kumchoma moto na...
  4. V

    Geor Davie ni nani?

    Kitu kinachonishangaza ni vile watumishi wa Mungu wanasakamwa kila kona! Ni kama watu wote walioandika wana uadui na huyu mtu! Ina maana huyu jamaa hajawahi kufanya jema hata moja! Ni kama yeye kuwa Mtumishi wa Mungu kimekera sana watu. Yeye ni mwanadamu tu kwani yeye ni Mungu! Watumishi...
  5. V

    Geor Davie ni nani?

    Kitu kinachonishangaza ni vile watumishi wa Mungu wanasakamwa kila kona! Ni kama watu wote walioandika wana uadui na huyu mtu! Ina maana huyu jamaa hajawahi kufanya jema hata moja! Ni kama yeye kuwa Mtumishi wa Mungu kimekera sana watu. Yeye ni mwanadamu tu kwani yeye ni Mungu! Watumishi wote...
Back
Top Bottom