Recent content by vivacious39

  1. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Habari ,samahani hii ni nje ya mada natarajia kureport kazin kusajiliwa lakini na changamoto na majina.Majina yangu yote kuanzia vyeti vyote na chet Cha kuzaliwa vinafana ila nida ndo lilikosewa jina la Kati.Tayari Nina deed pool je wanaweza hitaji kitu kingine ..Msaada tafadhali
  2. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Wazima,ndugu zangu ..first experience kuhusu utumishi nilipata humu na ndo ilikuwa first interview hatimae Leo nimepata placement ..Mungu ashukuriwe ..alieanzisha huu Uzi uzidi kubarikiwa
  3. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Msaada wa mtu mwenye uzoefu wa maswali ya afisa maendeleo ya jamii
Back
Top Bottom