Nissan Civilian T 884 CWZ ya Rangi ya njano inauzwa, ipo kwenye hali nzuri na imefanya kazi kuanzia october 2014, inafanyiwa service. Inauzwa kwa kuwa zinahitajika fedha kwa haraka sana. Bei ni karibu na bure, Milioni 30 tu. kwa maelezo zaidi na Kama unahitaji nicheki whatsap, nipigie au nitext...
Lizaboni
CAS ndo nini? Rais Kikwete alisema 'huko duniani kuna watu wana pesa ukiweza kujieleza wanakupatia tu'! Kama wamefadhiliwa wewe unawashwa nini? Mbona hawa wanaoiba kodi zetu upo kimya? Unajua mkuu wa mkoa wa mwanza anakaa hotelin kwa mwezi analipa shilingi ngapi? Mwaka huu lazima mkae.
Gazeti la Guardian la tarehe 23.1.2015 lilitaja kuwa Interview itafanyika jumanne ya tarehe 27.1.2015. Je haikufanyika? ndio maana wameamua kutuma sms kwa walioitwa interview?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.