So nkipata mwanamke leo kesho nioe au kuna specific interval ya time kusema hii ni minimum hii ni maximum..??hafu kuzaa mongo ile ni risk factor tu so sio lazima ni kama mtu kunywa pombe na kupata cancer ya koo..ni risk factor tu so sio necessary..
Wat if kwangu kutokea hyo 23 to 30s ndo kiasi.?.?uvumilivu ndo utakaokuoisha mbivu siku zote...hiv unajua kumchunguza binadam hasa wa kike inaweza kukugharimu hata "mwongo mmoja"(miaka 10) na bado usipate jibu sahii...
Mmmmmhh so mda wangu wa kumchunguza ye anaona kwake unaenda saana huyo si ndo tapeli mwenyewe huyo...hafu hapo mi ndo sielew kwani ni wanawake tu ndo wanapotezewa muda..??kwa maana wanaume hatupotezewi muda.??
Eeeehh...sa kama wanaona wakiniuliza hamna kitu kwann bado wanaendelea kuja.?.?hafu cha kushangaza japo wanaendelea kuja bado hawaniulizi hata hao wapya wanaokuja..??namie silianzishi hilo suala...au ndo 7bu..?
Kwa kweli mheshimiwa sungura nakutaka radhi na naahidi kutokurudia tena kitendo changu kiovu cha kuwaita wakufunzi wanafunzi wenzangu hakika naamini ntafanya vizuri na ntajituma kwa dhati katika kipindi chote niwapo mafunzoni.... Bantu wakike nakutaka radhi pia...
Anhaaaaa sasa nmefurahi kugundua kua wanafunzi wenzangu mpo hapa naomba Bantu lady pa1 na Sungura wote tukutane katika darasa 1 tusome kwa pa1 kwani nyie hamtaki namie nfaulu kama nyie....??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.