Kuna mirungi aina nyingi kuna rungu korombo chakasi miruingi yenyemadhala ni chakasi na mirungi inayo pandiwa mbolea. Madhara mengne sijaona zaidi yaufujaji wapesa na yenyewe ya tegemeana uliyo jcondition. Wewe mimi ni mwaka wa kumi nasaga gomba nanina to......mb demuwangu mpaka anajuta kuzaliwa
Chukua sigara iwashe usivute iweke kwenye hakuli uwake mpaka iishe then chukua yale majivu changanya na baking pouda weka na maji ya limao pigia asubui mchana jioni ndani ya wiki yatakuwa meupe. Kama karatasi haina madhala hio dawa
Pole braza hapi kuchapiwa siri ya ndani. Dawa yake mwambie mkeo afanye mazoezi ya kumbana mkojo hata nusu saa nzima aimalishe pc masoz itakuokoa akizingatia ndani ta mwezi mmoja
hilo tatizo haliitaji vidonge hilo ni pepo nenda kaombewe mie mwenyewe limenitokea but now toka jikemee nimepona VIGEZO NA MASHARTI YA IMANI YAKO HUZINGATIWA
nenda hospital pima ukimwi kama hauna huo ni ukowefu wa vitamin c na madini flani mwilimi arovera haito kusaidia mie mwenyewe nimesumbuliwa na hilo shida ndani ya miaka tatu nimekuja pona na mavidonge ya kuongeza madini na vodonge vya vitamin c. fwatilia upone niungonjwa mdogo but unapoteza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.