Hii mbona kama blackmail. Kwamba wakumbuke vile walivyonavyo na jinsi watavyovipoteza kama tu watafanya yale yasiyopendwa na wewe mtoa ushauri. Nadhani wao ni watu wazima, mpaka kufikia kufanya hivyo watakuwa wamepima yote yaliyo katika nafasi ya kupotezwa na kufanya maamuzi sahihi kutokana na...
Kwani mleta mada, ulikuwa unatuhabarisha, ama unataka kuanzisha mjadala kabla ya mdahalo unaodai kuwepo ama unataka kutuonyesha upande uliopo, au unataka kutuchonganisha ama unataka nini hasa?? Mbona umakini, ukweli, uzalendo na uungwana umekosa katika maneno yako????
Labda nikueleweshe tena, katika mfumo wa kijamaa kunakuwa na communal ownership. Hii ina maana jamii ama wananchi wanamiliki vitu vyote kwa pamoja. Lazima wananchi hawa wawe na mfumo wa umiliki na huu ni serikali. Hakuna kiini macho hapo, unaposema kutauwa na mfumo wa umiliki unamaanisha...
Kwa imani uliyonayo, hicho ulichokizungumzia ndo ujamaa??? yaani kutumia rasilimali tulizonazo kuwainua wanyonge unadhani ndo ujamaa!!!!???
hii ndo maana ya ujamaa kwa lugha nyepesi, Mfumo wa kisiasa na kichumi wa kuanganisha jamii unaoelekeza kuwa njia za uzalishaji, usambazaji na ugawanyaji...
Jamani hebu tusijidanganye.
Kwa mtu yeyeto mwenye uelewa wa dunia inakoelekea wakati huu hawezi kuwa anaongelea ujamaa. Karne hii ujamaa utakusaidia kwa lipi??? Kwa taarifa yako Ujamaa ndo umetufikisha hapa tulipo kwa asilimia kubwa. Watu wamekuwa wazembwa, sio aggresive, hawajui kudai haki...
Hii ni nonsense argument. Hebu kasome we mtoa mada, uchu wako wa kutokuwa ulipotaka kuwa kusikufanye kipofu wa uhalisia. SUA kimeenda kwa nani kumshawishi, Mzumbe je??? Kama na wewe unajihesabu kuwa msomi wa Taifa hili, nakushauri uanze upya Sekondari, maana njia uliyopitia ya kwanza...
inasikitisha jinsi ambavyo uchama unaweza mpumbaza mtu. Hivi kweli mtoa mada umeishi katika mazingira gani, na una upeo kiasi gani hata kuweka siasa mbele na uzalendo nyuma!!! inanipa wasiwasi na hofu kubwa nikiona vijana wa nchi hii tunavyotumika kuharibu amani yetu wenyewe. Labda hujui vita ya...
Hehehehe imani ni jambo lenye kugusa hisia za watu katika upekee wake. Imani hufanya mtu asahau utu na thamani yake katika jamii wakati mwingine. Imani huweza kumfanya mtu akasahau hata jirani yake ni nani na ipi misingi ya maisha yake. Imani ina nguvu ya kututenganisha hata kama tunaelewana kwa...
Nimesikia wanasiasa kadhaa wakidai kuwa wazee wamewashauri au wamewabembeleza kugombea uongozi wa nchi hii hasa uraisi. Swali langu hasa ni kuwa hawa wazee ni akina nani, na mbona hawaeleweki maana kila mmoja kafuatwa na wazee hawa ili agombee uongozi. Au ni wacheza kamali wanatafuta wachezaji...
Kila siku nikisoma mawazo ya watanzania wenzangu nazidi kata tamaa kuhusu tunakoelekea kisiasa na kiuongozi. Hivi hii topic uliyoleta ni umbea, taarifa, tetesi, wazo, mada au swali. Maana inaonekana hata ujajipanga. Tokea mwanzo wa topic yako umeonekana kama mtu unaetoa taarifa tena yenye...
BAdo sijaelewa wanalipa kodi kwa msingi upi. Ina maana leo hii mie nikipewa fedha na mshikaji wangu inabidi niilipie kodi.....au ndio danganya toto ili wasirudishe hiyo pesa yote???? Kwanini Watanzania tunadanganywa kwa vitu vidogo vidogo sana. Hawa hawakulipwa ila wamegawiwa. kama walilipwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.