Recent content by Violet Nkata

  1. Violet Nkata

    Upatikanaji wa notes za ordinary diploma in clinical medicine NTA level 4 first semester

    Habar zenu wapendwa, Kulingana na title hapo juu inavyojieleza ni kwamba kwa yoyote anayejua upatikanaj wa notes za Ordinary Diploma in Clinical Medicine either iwe n kwa njia ya magroups au online research. Naombeni msaada kwa ambao wameshapita hii stage na kwa ambao wapo kwenye hii stage.
  2. Violet Nkata

    Ipi bora kati ya kujiendeleza kwa degree baada ya ordinary diploma ya clinical medicine au kuanza na kufanya kaz kwa miaka kadhaa ndio ujiendeleze na

    Habar zenu Ningeomba ushaur hapo wakuu kuwa n vyema kuanza kaz baada ya diploma ya clinical medicine alaf ndio ujiendeleze au kujiendeleza immediately after diploma of clinical medicine
  3. Violet Nkata

    Je, course ya Health Information Science ni nzuri?

    Ckuijaza hii course mm nimechaguliwa na serikalii
  4. Violet Nkata

    Je, course ya Health Information Science ni nzuri?

    Hii course haikuwa ndoto yanguu kabisaa
  5. Violet Nkata

    Je, course ya Health Information Science ni nzuri?

    Kwa hyo itabd niapply chuo kngne tnaa😓
  6. Violet Nkata

    Je, course ya Health Information Science ni nzuri?

    Mkuu mbn naambiwa hii course haina sokoo yaan hata sielew kwa kwl nahc kuchanganyikiwa
  7. Violet Nkata

    Je, course ya Health Information Science ni nzuri?

    Naombeni msaada wa maelezo juu hii coz tafadhali😓
  8. Violet Nkata

    Je, course ya Health Information Science ni nzuri?

    Asnte mkuu,,, Naomba unieleze mkuu kwan hii course ina husu nn? Na je kwa level ya diploma Kuna uwezekano wa kupata mkopo au ukiunganixha na degree Kuna uwezekano wa mkopo??
  9. Violet Nkata

    Je, course ya Health Information Science ni nzuri?

    Je, kubadili na kusomea clinical medicine katika chuo hko hko nilichopangiwa na serikali inawezekana?
  10. Violet Nkata

    Je, course ya Health Information Science ni nzuri?

    Habar wapendwa, Wakuu nilikuwa naomba kujuzwa kuhusu hii course ya health information science kuwa ina husu nn na je n nzuri. Nmemaliza kidato Cha nne mwaka jana nmefaulu kwa divsn 1 ya 12 na nmepangiwa chuo Cha afya mtwara kusomea course ya health information science asa mnanishauri nifanye nn...
Back
Top Bottom