Dah! Ilikuwa jana tar 15.02.2019, baada ya Mula kukata 11,000 yangu ya kifurushi cha king’amuzi X, nikapokea ujumbe kutoka kwa watu wa King’amuzi kuwa ‘Malipo hayajakamilika, piga 0755400006 kwa maelezo.’ ...haipokelewi, mara haipatikani,,, Voda wakasema hawawezi kusitisha muamala, wakanipa...