Nilienda oral ya MDAs, tulipata muda mwingi sana wa kuongea na supervisor toka utumishi. The issue is; utumishi hawapendi interview zifanywe na TRA ila Kuna kauli ya wazito ndio ilifanya haya. Ila tunashukuru bodi kukazaaaaaa! Wasiachie hapo hapo, wapewe na zingine
Kaka Nina uhakika salary slip yangu ya Sasa hufikii hata nusu ya gross pay yangu, watu tuna sababu nyingi za kutaka kuingia serikalini, kama unataka uone ninacholipwa njoo Pm
Salaam Wana jamvi, swali ni kama linavyo jieleza. Nilifanikiwa kuingia oral ya nafasi ya ACCOUNTS OFFICER II iliyofanyika tarehe 05.04.2025, najua Kuna wajuzi ambao Wana za "ndaaani" kuhusu ni lini UTUMISHI watsanza kuita watu makazini.
Naomba kuwasilisha!
Mkuu Kuna mtu ni mhasibu msaidizi pale(....) analipwa 8mil, Hana CPA wala Masters, NSSF yake inasoma 70mil+, lakini Bado hajiamini anataka hizi hizi za sisi walala hoi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.