Recent content by Vikao vya Harusi

  1. Vikao vya Harusi

    Ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni. Eti Askofu Gwajima anataka kuwapeleka Tokyo Japan wacheza rede wa Msasani

    Aiseeeeeee. Naona akina mama omary wanapiga mazoezi balaa, kumbe kuna kwenda japan ukiacha mil.1 kwa mshindi. Karibu sana matunda Bar
  2. Vikao vya Harusi

    Waliofanya interview za CDOs lini majibu?

    mpaka leo tarehe 09.10.2023 kwenye nafasi 800 walizo tangaza, bado nafasi 277 za watu kuitwa kazini. kila lakheri mliofika oral, ila kama sio leo basi zamu yako ni kesho, kikubwa mtabaki kwenye data base.
  3. Vikao vya Harusi

    Auditor Officer II au Accounts Officer II huko halmashauri, ipi nzuri?

    Unaongelea wahasibu wa halimashauri gani!? Hivi huoni report za CAG?
  4. Vikao vya Harusi

    Kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana kwa kutumia waganga wa jadi?

    100% na unaweza kuingia hata bila oral. Nina watu wawili nawajua wametoboa kwenye ile interview yenu ya ......M.O, trust me.
  5. Vikao vya Harusi

    Wakumbukeni Wastaafu wa umma pia. Ongezeni Pensheni zao

    Mishahara ikiongezeka na pensheni zinaongezeka
  6. Vikao vya Harusi

    Wabunge 19 kufungua kesi, vigogo CCM na ofisi ya Spika wahusishwa katika uratibu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]proxy war. She is using "Baraza kuu" to pave a way for nomination.
  7. Vikao vya Harusi

    Wana - Iramba tunasubiri kwa hamu kutimuliwa kwa Jesca Kishoa

    In 2025 atagombea Iramba mjini na atampisha kaka ake mwigu kule Iramba vijijini.
  8. Vikao vya Harusi

    Magari yenye usajili wa RAC

    Railway Assest C na yanasukumwa na wanangu wa eneo la DSTV pale
  9. Vikao vya Harusi

    Vita ya Ukraine na kisasi cha USA kwa Urusi

    Nimetafakari sana juu ya misada inayotolewa kila uchao na Marekani kwenda Ukraine, na jambo Moja limenijia kichwani, VITA YA SYRIA, tunakumbuka wakati utawala wa Assad ulivyokaribia kuporomoka Baada ya kupata mashambulizi mazito Toka Kwa ISIS(ISLAMIC STATE OF IRAQ AND SYRIA), kundi la kigaidi...
  10. Vikao vya Harusi

    Kubadilika kutoka “selected for oral interview” kuwa “shortlisted interview”

    ZA NDAAAAAANI KABISA! Kuna interview nyingine inakuja. Vijana mliofanya oral siku Ile mlizingua wengi. Na ratio ya serikali ni 3 candidates for 1 position. So kaeni mkao wa kula kwa wale mliopata 49.8 mpaka 45. Ngwe ya pili Ulifanya oral?
Back
Top Bottom