Chimbuvu hivi kwa kuchoma pekee bila kuchanganya na chemical yeyote kuna uwezekano wa ku-identify how purity!!? na 1tola ni grms ngapi maana huku wanazungumzia grma tu na si tola?
Okey sawa kiongozi(Chamlungu), mie niko Chunya kwa sasa, ila around february nitakuja hapo DAR, naamini tutawasiliana tu, na huku hasa hilo ndo limenileta kupata kauzoefu kidogo!
kuunganisha mtaji ndio mpango wenyewe, sasa tatizo wabongo hatuaminiki, mmoja akiondoka kwenda kwenye mipango mingine aliyebaki anaharibu au kutaka kuiba kidogo, hata hivyo mkijiunganisha muungane mwingine hawi na nia moja ya kufanikiwa na kufika mahala fulani, tayari yeye ni kizuizi cha kusonga...
Wana jf nilikuwa na wazo la kuanzisha kabiashara kadogo kakununua dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo na kwenda kuuza kwa wenye sonara hapo dar, kama kuna mtu anauzoefu na biashara hii changamoto zake na inaugumu gani, na jinsi yakuweza kuitambua pure gold, kuna kifaa chochote portable ambacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.