Mzee mwana kijiji umekosa busara, mbona baraza la mawaziri hausemi?? wakati watu wa dini nyingine wako kwa asilimia hiyo hiyo????, kama alivyosema Macho_ M , mzee anataka kuturudisha nyuma, ambacho kinachotakiwa kuangaliwa ni uwezo na siyo kinginecho siye wote ni watanzania, anayeangalia...