nashukuru sana ndugu yangu kwa kunipa moyo coz ni jambo lililokuwa linanitatiza kichwani kwa sababu nilifanya mtihani wa form 6 huku nikiwa chuoni nasoma ualimu level ya grade 3A. so nampango wa kuja kujiendeleza elimu ya juu.
mimi nlifanya mtihani wa form six kama private candidate mwaka jana nikafanikiwa kupata division 3 ya point 13 tatizo nilifeli GS nikapata F sasa sielewi kama nikifanya application ya kwenda chuo kikuu kama
watanichukua au mpaka nirudie mtihani wa GS?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.