Recent content by victor malson

  1. V

    Jamani nisaidieni kiushari.

    nashukuru sana ndugu yangu pamoja sana...........!!!!!
  2. V

    Jamani nisaidieni kiushari.

    nashukuru sana ndugu yangu kwa kunipa moyo coz ni jambo lililokuwa linanitatiza kichwani kwa sababu nilifanya mtihani wa form 6 huku nikiwa chuoni nasoma ualimu level ya grade 3A. so nampango wa kuja kujiendeleza elimu ya juu.
  3. V

    Jamani nisaidieni kiushari.

    mimi nlifanya mtihani wa form six kama private candidate mwaka jana nikafanikiwa kupata division 3 ya point 13 tatizo nilifeli GS nikapata F sasa sielewi kama nikifanya application ya kwenda chuo kikuu kama watanichukua au mpaka nirudie mtihani wa GS?
  4. V

    je inawezekana wadau?

    ngumu na haiwezekani yampasa atumie vyote viwili
Back
Top Bottom