Mimi shida yangu ipo hapo kwanini Serikali wanatoa vibali kwenye mkaa? Hivi kwann Binadamu tunakosa akili? Tunajua tunahitaji miti ili tuweze kuishi kwanini mkaa usipigwe marufuku? Mimi ndio maana nachukia wanasiasa. Ni lazima tuyatunze Mazingira yetu. No way tunapoendea tutakuwa pabaya Sana...
Kila mtu ajipe muda aende Makao Makuu CHADEMA siku za kazi, atakachokiona kama ni mpenda mabadiliko anaweza kulia. Nje pale Kuna walinzi wawili na anaweza kuwepo Afisa mmoja tu mara nyingi anakuwepo Kamanda Mashuve au Meshack au Remigius.
Ni ngumu sana kuwakuwa wakurugenzi au kumkuta Katibu...
Upo sahihi sana
Baraza Kuu la Chama 2019 liliazimia zifanyike Chaguzi za Mabaraza za Kanda. Lakini mpaka leo hazijafanyika Mnyika amepwaya sana. Ni Kiongozi mzuri lakini sio mtendaji kabisa. In short hafai kabisa kuwa Katibu Mkuu
Hata BAVICHA baada ya Nusrat kuondoka wameshindwa kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.