Inabidi atleast uende serikali za mtaa uchukue barua ya utambulisho, pia ambatanisha na lost report labda watakufikiria maana swala la id wanatilia mkazo mno kwa macho nimeshuhudia watu wakishindwa kufanya usaili kwa kukosa kitambulisho so fanya kila unachoweza kupata evidence za kutosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.