Recent content by viavia

  1. V

    Nawezaje kufuta nafasi moja kati ya nilizoomba UTUMISHI?

    Naona mwamba baada ya kupata solution ametoweka
  2. V

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

    God's time is the best time.Take courage mkuu, soon mambo yatakua poa
  3. V

    Hili lina ukweli kuhusu waliopata 49-45 written interview ya TRA?

    Sidhani kama kuna ukweli wowote katika hili, but anyway things happen
  4. V

    Hii nchi ngumu kweli, eti mtu kashaliwa kichwa

    Mkuu be strong, fanyia kazi izo remark yao You never know , there is always next time
  5. V

    Msaada jaman

    Namba lazima waweke wakati uo uo nenda kwenye my applications then angalia
  6. V

    Waombaji wa kazi BRELA zimetoka

    Nenda kwenye my application ndo utaona
  7. V

    Waombaji wa kazi BRELA zimetoka

    Chekini akaunti zenu wadau walioomba
  8. V

    Msaada jaman

    Inabidi atleast uende serikali za mtaa uchukue barua ya utambulisho, pia ambatanisha na lost report labda watakufikiria maana swala la id wanatilia mkazo mno kwa macho nimeshuhudia watu wakishindwa kufanya usaili kwa kukosa kitambulisho so fanya kila unachoweza kupata evidence za kutosha
Back
Top Bottom