Hamna cha kushangaza wajameni mbona kaalikwa tu na waziri mkuu wa Italy, na offcourse ni moja ya majukumu ya rais kujega mahusiano mema na nchi nyingine diniani kote,sasa cha kushangaza ni nini?
Jamani,Kama sio mapenzi ya mwenyezi Mungu.Ninamlaani kwa mabaya yote duniani na mbinguni kwa yeyote kwa njia moja ama nyingine anayehusika na kukatisha maisha ya dada yetu Amina Chifupa.
Amina amekuwa muwazi kwa yale yote aliyoyaona yanafaa na yasiyofaa katika nchi yetu. Nawalaumu sana jeshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.