Recent content by vfma

  1. V

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Naona " Itumishi wako fair " ameukimbia uzi.
  2. V

    Kwanini TRA wameficha majina ya waajiriwa wapya? Kuna siri gani? Huu ni utaratibu mpya wa Utumishi wa Umma?

    Ni kweli hakuna cha uspecial wowote, mbona awali saili zake zilikuwa zinapitia utumishi, sema tu ni mabadiliko haya yaliyokuja ya kusema taasisis zijiendeshe zenyewe ikiwemo na suala la kuajiri zenyewe, nje ya hapo hakuna cha u special wowote hapo , usitake kudanganya watu.
  3. V

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Yaah jamaa ana simama katika nafasi yake sana
  4. V

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Huu ulimwengu bana mambo ni mengi sana unaweza ukachanganyikiwa ukisikiliza rumours za watu, usaili wa mwisho umefanyika J5 , usaili ulikuwa na idadi kubwa sana ya wasailiwa mfano tax management officer II oral ni 847, leo hii hata wiki haijaisha una ambiwa watu wameshaitwa kazini, any way sisi...
  5. V

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wameitwa lini kazini ili hali usaili wa oral toka ufanyike leo ni siku ya 6, na kwenye website ya TRA hakuna tangazo la watu kuitwa kazini mpaka sasa.
  6. V

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Aisee nimeshangaa sana sasa si bora wange wa screen mapema na kuwaambia kuwa hawana vigezo kuliko watu wametupa nauli zao halafu mitihani wamefaulu baada ya kufaulu unawaambia irrelevant
  7. V

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hivyo ni vyakula tu na upendeleo wa mtu , havina uhusiano na hali ya uchumi ya mtu binafsi tena ndio vyakula bora vinavyoshauriwa kuliwa ki afya
  8. V

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ni sahihi sana tunamshukuru sana Mungu kwa ajili yake Mama Samia, maana hali ilikuwa tete, nikikumbuka mwaka 2021 nafasi 6 za customs officer TRA , Interview candidates 15,000 hali ilikuwa mbaya sana , ila angalau kwa miaka miwili hii ya Mama vijana tumetoka sana kitaa.
  9. V

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mfwende sawa dogo hongera na karibu sana kwenye utumishi wa uma , tunasema safari moja huanzisha nyingine Mungu daima ni mwema sana kwa watu wake, hakuna anayemtumainia akamwacha bila baraka zake, hio ni ahadi yake amesema hivyo katika Neno lake. Hivyo inapaswa ukamshukuru kwa Neema zake hizo...
  10. V

    Majibu yanatoka lini kuhusu hatua nyingine ya Usaili wa Mahojiano TRA?

    Hasa unapokuwa na matarajio makubwa.
  11. V

    Majibu yanatoka lini kuhusu hatua nyingine ya Usaili wa Mahojiano TRA?

    Aisee hatari sana , haya maswala ni kumuomba Mungu na kusubiria tu, saili muda mwingine huwa na matokeo ya kushangaza sana.
  12. V

    Majibu yanatoka lini kuhusu hatua nyingine ya Usaili wa Mahojiano TRA?

    Kama hamkutangaziwa siku ile mliofanya written basi ni ngumu sana kupata majibu hapa, swala la msingi ni kuwa na subira tu na kwa Imani siyo mbaya ukaanza maandalizi ya Oral.
  13. V

    Msaada: Tusome notice gani kujiandaa na interview ya trade officer 2

    Jitahidi tu kujikumbusha yale uliyosoma chuoni pia changanya na mambo ya Economics, pia ujue taratibu za kusajili biashara na sheria mbalimbali zinazotumika kusajili biashara, sifa za biashara zinazostahili kusajiliwa kwa mujibu wa sheria za Tanzania nk.
Back
Top Bottom