Recent content by Verrazzano

  1. V

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili

    Video imeondolewa ili kulinda utu wake, kwani video iliwekwa na nani, sio yeye mwenyewe ???? Mamaake Emit Till ali insist jeneza na mwanae likae wazi mpaka kaburini ili dunia ione walichomfanya mwanae.. Picha kasambaza Bakari mwenyewe, kwa makusudi maalum, wewe unasema unalinda utu wake, are...
  2. V

    JamiiForums Tanzania Aliyejirekodi na kuonyesha Kariakoo hakuna Watu na Maduka yamefungwa siku ya 77 apewa kesi ya Ugaidi

    Mbona naona kama kifungu kidogo cha 3 lazima kitokee ndio ugaidi utimie ? Yani shambuliio na utekaji ?? Yani 4 (3) A and B Nakosea wapi??
  3. V

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Asasi za Kiraia (AZAKI): Serikali ya Tanzania imeilipa kampuni ya BGR Group Tsh. Bilioni 7.886 kuisafisha taswira ya nchi

    Hata tukitumwa kwenda sokoni tulikuwa tunatumia njia za mkato. Hatuzunguki around. Njia za mkato zina shida gani ?
  4. V

    JamiiForums Tanzania East Afrika hakuna Salmon. Mwarabu muuza samaki wa Insta na Survey barabarani ni mwongo

    Kwa hiyo yeye amewa import kutoka Pacific Ocean kuja kuwapanga kwenye meza Survey barabarani ? Eeeeeh ? Awauze basi huko huko California apate dollar! Salmon, samaki namba moja mwenye nutrients ya Omega 3 hapatikani East Africa. Yupo Pacific Ocean and Atlantic Ocean huko. Indian Ocean marine...
  5. V

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye ugonjwa wa Tezi dume vijijini wanakosa matibabu ya ugonjwa huo kutokana na umaskini

    Yeye mwenyewe kanielewa Na usi assume kwamba kila mtu hapa ni bwana mdogo. Au labda wewe ndio mzee mbobevu sana wa masuala ya matezi dume.
  6. V

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: DPP anilipe fidia kwa taabu aliyonisababishia kwa siku 139

    Sijaelewa chochote
  7. V

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye ugonjwa wa Tezi dume vijijini wanakosa matibabu ya ugonjwa huo kutokana na umaskini

    Ugonjwa uitwao tezi dume! Hakuna ugonjwa uitwao tezi dume Tezi dume ni organ, kiungo cha binadamu. Kama vile moyo. Hakuna ugonjwa unaoitwa moyo.
  8. V

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Marehemu Kibonde aomba msaada wa Kisheria kuhusu mirathi ya baba yake

    1. Mtu anadai haki yake utasemaje analeta vikwazo ??? i ??? 2 Wanaolwamisha kesi ni mahakimu corrupt and incompetent, hawajui sheria nahawako accountable. Mirathi haiendeahwi na hiari za warithi Vkwazo vya mrithi havina nafasi au nguvu ya hasimamisha na kuua kesi isiendelee. Hakuna...
Back
Top Bottom