Lengo ni kupata wabkubadilishana nae kituo cha kazi na si kuangalia jinsi mtu anavyoandka tangazo. Ifike mahala tujue kutofautisha mambo na si kukuza jambo dogo.
Ulitakata niandike vipi labda kuhusu idara maana nimesema idara ni sekondari. Sawa skujua kama kuandika vifupisho haviruhusiwi na tayari nimerekebisha. Daaaaaa kila binadam anakosea na haina maana kua kuandika kifupi humu kunachangia mwanafunzi kufeli. Maana najua jinsi ya kufundisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.