🤣 Unaeza nsaidia labda. Ni masomo gani ya account Apo yameondolewa yakapachikwa ya IT kijana Kisha nenda pitia intermediate level kwenye CPA utakuta ni masomo gani yame miss ambayo ungepaswa kusoma wakati unachukua degree yako ya kwanza
Nimekupatia challenge uangalie Kama Bodi wamekwisha tambua hii kozi ama la,then upate majibu ya kuridhisha. Kujiba swali lako straight ni changamoto kidogo wew n msomi now Anza kufuatilia taarifa mbalimbali kuhusu professional qualifications za bodi mbalimbali na criteria zake then utuletee jibu...
Sawa boss uliyesema yote ni sahihi. Lakini ngoja nkulize swali NBAA wanatambua course hi ya BAIT? Ningeomba ujiulize kukuwezesha kua professional accountant ( CPA holder) Kama ni lengo lako, lakini Kama ni kuwa muhasbu wa kawaida fresh tyu piga iyo course
Jitahidi kumuliza lengo lake ni kuja kua professional accountant au accountant wa kawaida tu? Then Kama anahtaj kua professional apige pure accountancy IAA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.