Uvivu wa fikra,uswahili na upumbavu ndyo umewajaa nyote mlocomment negatively..against Dar LuxBus.. tatizo hampendi kuwa Creatives, actives and honest...hii ni principle fupi tu kuyakuta mafanikio hayo anoyahusisha na Mkuu wa Kaya.. Opportunities sasa zipo tena nyingi tu lkn ninyi mkitumia muda...
inaelekea huyoa aliye kuja na kuliweka hapa kwenye mtandao ni mbeya sana
mimi naona usione hata mtu kajamba wewe utakuja kuweka mtandaoni
hivi nikuulize unapata faida gani
acha hizo
:eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows:
labda uazishe ya kwako ndio ukaifanye ya kusambazia mafenesi na korosho unalooooooooooo
mimi naona ukaoge
unajua mdau wewe acha kujadili ya watu jadili yakwako kwamba utatoka vipi kimaisha
wakati ww unaandika haya hakuna mtu anaye kulipa wakati wenzako wanaingiza taratibu
ww unabaki kupiga domo.
pole weeeeeeeeeee
ila wanatoa kazi ya ukonda kama unataka kwa ww unaweza ukapata
badala ya kupiga domo...
huo ni wivu wa maendeleo inamaana yeye akianzisha hiyo kampuni tayari mnamuhusiha na kigogo . hivi unafikiria hapa tanzania hakuna watu ambao wanashindwa kufanya hivyo tatizo la watanzania mna wivu ndio maana hatuendelelui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.