Msaada wa Mawazo
Nimemaliza Form 6 mwaka juzi ila nikaona nijiegeshe katika baishara kwa muda, kwa sasa nafanya kazi ya kusajili laini za simu mitaani (Freelancer) ila naona Tayari nimeshaanza kuchoka, Ila Mpk sasa Nina akiba yangu ya Shilingi laki saba (700,000), lengo la kupost humu Ni...