Recent content by venance Ndegeya

  1. V

    Serikali itueleze sasa alipo Mkuu wa Majeshi, tuna haki kwa mujibu wa Ibara ya 18 ya katiba ya nchi

    Si mulishaambiwa kuwa yuko Italy? Sasa mnataka nini zaidi?
  2. V

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    We siyo mkatokiki acha kudanganya.El kakosea tuseme ukweli kama kweli tuko mature
  3. V

    Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

    Hata mimi huyo anayejiita askofu Gwajima nimemdharau sana hana maadili ya ukristu kabisa,wafuasi wake sijui aliwapa limbwata gani
  4. V

    CHADEMA yadoda Morogoro Mjini

    Mhhhhh! Hapo kweli kuna katatizo watu kiduchu hivo?
  5. V

    Umeambiwa, Lowassa ni muongo, tapeli, fisadi, na bado una mshabikia! Una matatizo makubwa

    You Dont elect EL for development? Your intention is to get out CCM you might be abnormal
  6. V

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Gwajima siyo mtumishi wa Mungu,ni mpiga madili tu akisaidiwa na Lowasa
Back
Top Bottom