Tumejenga taifa la watu wazushi. Daktari wa PhD anazusha. Alizusha mambo mengi akiwa mwenyekiti wa kamati teule ya bunge na uzushi wake unatugharimu hadi leo. Akatuaminisha kwamba Richmond na Dowans ni moja na kwamba zote zina mikono ya RA na EL. leo hii haya yote yamethibitika kuwa ni uongo na...
Duh! Jamaa anashangaa mitambo ya mabilioni imezimwa na wajamaa wanaoota ndoto za Nyerere miaka 12 baada ya kifo chake. Kweli Watanzania tumelogwa...Tunakataa umeme wakati tuko gizani...Si tutekeleze basi mawazo ya Mnyika kwa kutaifisha mitambo au tukachunguze katika soko la dunia bei yake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.