Recent content by VEBS

  1. VEBS

    JamiiForums Tanzania Sasa hivi walimu wameanza kutusumbua nauli ya kwenda shuleni, jifunzeni kuweka akiba

    Wewe Ni mpuuzi lakini hakuna upuuzi ulio upuuzi mtupu.
  2. VEBS

    JamiiForums Tanzania Hii ni kwa wale wasioamini ushirikina, naombeni mnipe sababu za kisayansi kwenye mkasa huu

    Kuna michezo flani, siku hizi siioni, ni kiini macho, mtu anachomwa kisu shingoni, kinatokea upande wa pili wa shingo na damu zinabubujika, lakini baada ya muda kisu kinanyofolewa na mtu anakuwa kawaida![emoji56] Au mtu anameza karatasi anatema msimbazi, jamani! wakati huo kwenye show yake watu...
  3. VEBS

    JamiiForums Tanzania Hii ni kwa wale wasioamini ushirikina, naombeni mnipe sababu za kisayansi kwenye mkasa huu

    Kuna hoja hapa. Kwanini wasipime DNA?
  4. VEBS

    JamiiForums Tanzania Ingia 2023 na Siri ya kutunza Siri ili malengo yako yasiharibike tena

    Umefanikiwa kwenye hizo biashara zako? Tunza siri Mkuu acha ubishi. Tatizo la wivu sio la watanzania ni la walimwengu. Kama huna wivu kabisa basi umepungukiwa sifa za kuwa mtu, wewe ni malaika pengine.
  5. VEBS

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Familia yazika mtoto wa kike akiwa hai ili wapate utajiri

    Sawa inaongoza lakini ili uongoze si lazima kuwe na unaowaongoza? Okay, inafuatiwa na? Je, kuna kanda haipo kwenye haya mashindano? Tz unyama ni mwingi. Na kwakweli sehemu kubwa ya mfumo wa elimu yetu isingekuwa hii ya Physics na Chemistry (hii wangesoma wachache tu) Wengi wetu huku...
  6. VEBS

    JamiiForums Tanzania Mwangi Kainjiru na wakenya wanaitaka nini Tanzania?

    Wewe Ni Dr? Maana uandishi wako si mtu wa propaganda. Crip hakuna na maelezo yako hayaeleweki, fafanua hizo crazy points moja baada ya nyingine vizuri tuelewe.
  7. VEBS

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Familia yazika mtoto wa kike akiwa hai ili wapate utajiri

    Kanda ya ziwa ni vile kuna reporters wengi, huko kwingine pia mambo ni moto sema no reports. Ka-Tz ketu kwa mujibu wa takwimu kanashika nafasi za juu sana kwa kuamini MIUJIZA.
  8. VEBS

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Familia yazika mtoto wa kike akiwa hai ili wapate utajiri

    Hiyo familia ipewe muda, tunataka tuone huo utajiri la sivyo iteketezwe kwa moto.
  9. VEBS

    JamiiForums Tanzania Waliofariki ajali Morogoro wapo Wanandoa

    Taarifa ya polisi inasemaje kuhusu chanzo cha ajali? Ni barabara finyu? Ni ubovu wa gari? Ni dereva kukosa uzoefu? Ni alama za barabarani hazionekani au hazipo? Ni ukosefu wa huduma za uokoaji? Ifike mahali tukubali uzembe wetu ni mkubwa tunapotumia barabara hasa tunapojifanya tuna haraka.
  10. VEBS

    JamiiForums Tanzania Merry Christmas from Mohamed Salah. Je, anapima upepo? Waislam wamshangaa!

    Wewe unaonekana mbishi hatari, kuna mambo mawili hapa, huenda unaijua sana dini au huijui kabisa. Na possibility ya kutoijua ni kubwa maana watu wanaojua huwa si waongeaji sana. Katika comment yangu Mimi sijataka niheshimiwe wala nipendwe, rudia kusoma uelewe kusudi langu.
  11. VEBS

    JamiiForums Tanzania Merry Christmas from Mohamed Salah. Je, anapima upepo? Waislam wamshangaa!

    Acha fujo mkuu. Narudia tena, tafuta amani na watu wote.
  12. VEBS

    JamiiForums Tanzania Merry Christmas from Mohamed Salah. Je, anapima upepo? Waislam wamshangaa!

    Nimependa ujumbe kwenye picha ya Mo Salah and family, nimetamani tungekuwa tunaishi hivi na waislamu wote. Inapendeza.
  13. VEBS

    JamiiForums Tanzania Heri ya Noeli wanaJF. My beloved mama amefariki dunia usiku wa kuamkia leo

    Tumshukuru Mungu. Apumzike kwa amani mama. Safari yetu ni moja.
Back
Top Bottom