Recent content by VANSTONE

  1. V

    ..nilimsahau but amejileta tena..

    wanagundi nini?
  2. V

    Jiko chafu

    mimi hutumia sabuni ya AXION kusafisha jiko langu inaondoa mafuta yaliyoganda
  3. V

    Nyama na Maziwa ya soya

    mimi huwa nakaanaga kitunguu mpaka kinakuwa brown,halafu na tia nyanya nakaanga mpaka zinaiva,natia karoti,then ndo natia hizo nyama naoneza na maji kidogo,nafuika mpaka zinaivaa,naangalia kama mchuzi hautoshi naongeza maji naicha inachemka kwa mda kidogo then naepua(waweza tia nazi kama...
  4. V

    Anayejua namna ya kutengeneza bagia za kunde

    rubi,huwa mimi nachambua kunde zangu kwa kuzitoa mawe na uchafu,halafu nazitoa maganda kwa kuzisaga kidogo kwenye blander(ya kusaga vitu vigumu),halafu nazitia kwenye ungo napeta maganda yote,halafu ndo naloweka kwenye maji(hapa waweza roweka asubuhi mpaka jioni),halafu nachuja maji(ikiwa maji...
Back
Top Bottom