Recent content by Vangiporini

  1. Vangiporini

    Hizi Harrier 3rd gen zilivyojazana hapa mjini utasema haziuzwi Mil 70+

    Upo sahihi kabisa me mwenyewe binafsi sivutiwi na hiyo 3rd gen na pia kwenye fortuner ni hivyo hivyo
  2. Vangiporini

    Passo ikiwa kwenye speed ya 80km/h inakuwa sawa na V8 ikiwa kwenye speed hiyo hiyo?

    naona watu wanachanganya speed na acceleration. mtoa mada ameassume passo imefikia speed ya 80 tayari na V8 imefikia speed hiyo hiyo. Basically zitakuwa sawa tofauti ni kwamba engine ya passo itakuwa inazunguka zaidi. Ila speed zitakuwa SAWA na ndio maana tochi za askari wa barabarani ni ile...
  3. Vangiporini

    Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

    Aisee kuna jamaa yangu majuzi kanunua Harrier show room Odometer inasoma 75k km. Nikamwonesha huu uzi akabisha, tukaserch chasis no inspected milage ikaja 198,203 km jamaa akachanganyikiwa [emoji23]
  4. Vangiporini

    Nini cha kuzingatia ukitaka kununua gari kwa mtu (used)?

    11. Kabla ya kununua jaribu kufuatilia gharama za uendeshaji za gari husika, bei ya gari isikuchanganye. Kuna gari zinauzwa mkononi kwa bei kitonga sana, ila ukija kufuatilia kiundani gharama za uendeshaji kama vile spea, mafuta n.k ni kubwa. Sasa bei ya gari inakuchanganya unaenda pupa.
  5. Vangiporini

    Msaada wa haraka unahitajitika!

    Kwa uzoefu wangu harakaharaka jamaa amekosea KUSET TIMING, na mafundi wetu wengi wakishafungua engine wanashindwa kuset Timing wakati ni kitu simple sana.
  6. Vangiporini

    Pikipiki yangu inachelewa kuwaka

    tena kama imeshindwa kuwaka kwa kick usitegemee starter itawasha....itacrank hadi betri liishe naungana na wadau wanaosema anza na vitu vidogo mf. Plug, wachunguze mfumo wa mafuta carb, na tank kama kuna uchafu ama changamoto nyingine, ignition coil na magneto na hatimaye valve kama zina carbon...
  7. Vangiporini

    Tatizo la pikipiki kuzima ukiwasha taa

    Shida ni wiring hapo. Ile magneto ya pikipiki ina coil zinazalisha umeme kwa matumizi tofauti kulingana na mahitaji. Umeme mwingine kwenye vifaa, Kwenye ignition system n.k Na nina wasiwasi fundi wako umeme wa kwenda kwenye taa kubwa yeye kachukulia kwenye njia inayopeleka umeme kwaajili ya...
  8. Vangiporini

    Simu ya mkopo; kalipa deni lote lakini bado inafungwa!

    Kama ana document zote yani mkataba na miamala, hiyo ni fursa atafute mwanasheria wakae chini hapo ili wawapige hela ndefu hao mabwege
  9. Vangiporini

    Naomba kujua tofauti ya hizi Suzuki mbili

    kwa kuangalia nahisi hiyo ya blue ina engine ya V6 na hiyo nyekundu ina 4 cylinder G16 engine . Ukiachana na masuala ya kwenda na fashion na kuskiza watu wakisema ni gari za wazee, Hizo gari ni imara na pia ni stahimilivu kwenye barabara mbovu pia 4wd yake iko vizuri. Ila tafuta yenye engine...
  10. Vangiporini

    Toyota Brevis na matunzo yake karibuni wajuvi kutoa ushauri

    Broo....wabongo sisi umasikini ndo shida, kila anayekuja kuipondea Brevis hana sababu zenye mashiko, kwanza 1JZ ni one of the best engines za Toyota japo za D4 zinahitaji uzipe kitu zinataka na zipo efficient sana kwenye ulaji wa mafuta, sema tu watu washazoea kuabuse magari na pia kiu ya...
Back
Top Bottom