Mlkuwa wap cku zote hizo, mbona hamkuyaanika hadharani? Km kwel mmejidhatiti kuwa wawazi kwa wananchi wenu mbona hampo tayari kuweka mapungufu ya kiutendaji ya wizara husika au mnasubiri mpaka pale watakapozipuuzia sera za chama na kugeukia sera pinzan na huo ndio unakuwa mwanzo wa kuwakosoa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.