Ujinga ni pale watu wako kwenye majonzi makubwa kwa kiongozi wao kuumizwa vibaya na watu wasiojulikana, raisi anapokea ripoti ya alimasi, mtekaji wa watoto kuuwawa,
Unaamua kuweka mb zako ili usome hizo habari kwa undani facebook, ile kufungua to facebook unakutana na lisura la mdada mbaya...