Wasalam ndugu zangu! Natafuta kazi za kilimo na ufugaji kama kusimamia mashamba, kutibu mifugo na kazi nyingine zote zinazohusiana na sekta ya kilimo ma ufugaji.
Kwa yeyote mwenye msaada tujulishane humu humu!
Mwenye chumba cha kupanga maeneo ya Upanga au Magomeni mapipa i.e karibu na Muhimbili hospital naomba uni contact...
Hata kama ni nyumba ya NHC haina shida
Umeme na maji muhimu
Nikipata self contained ntamshukuru Mungu
Chumba na sebule pia sio Mbaya
Contacts:0657209956
Mawazo ya tija...
unachokiongea unakijua au matatizo yako ndo unakuja ku-express hapa
Kama umeuziwa bomu sema tukusaidi na sema waapi unapata shida upate msaada
Kama umeuziwa mangula usifikiri utakula kama waliouziwa original
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.