Recent content by Vaislay

  1. Vaislay

    JamiiForums Tanzania Songea to Mwanza: Mwamba katoa chuma na kaanzisha hii route

    Mbamba bay to kyela?? Tangu lini?
  2. Vaislay

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ni kwanini Wanawake hamjui kukataliwa?

    Unaanzaje na unawezaje kumkataa sasa? Si tumeumbwa kwa ajili yenu? Kwaio unakataa maagizo ya Aliyetuumba?? Umepata wapi huo ujasiri??
  3. Vaislay

    JamiiForums Tanzania Ubungo mataa: Trafiki agongwa na pikipiki akikimbilia kusimamisha lori

    Hawa watu ni shida sana, wanatakiwa kujirekebisha maana wameshaweka uadui kati yao na watu wanaomiliki vitu vya moto
  4. Vaislay

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Changamoto mbalimbali za maisha ya ndoa. Hii ni changamoto inayonikabili, karibu na wewe utueleze yako tuzitatue

    Hii dunia sijui inaenda wapi
  5. Vaislay

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wa sasa acheni kukurupukia ndoa

    Haimaniishi uende tu kwenye ndoa bila kujiridhisha et tu kisa usipoolewa watasema
  6. Vaislay

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wa sasa acheni kukurupukia ndoa

    Mi naamini akili inategemea na mtu maana unaweza kukuta mtu ana30 kichwani hamna kitu, je asubiri mpaka akili ikomae na 45 yrs?
  7. Vaislay

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wa sasa acheni kukurupukia ndoa

    Na wengine wanapenda kamseleleko, wakiona binti familia inajiweza. Point sio ajira tu, swala je uko tayari au utaamudu maisha ya ndoa? Maanaa ndo sio shereh tu
  8. Vaislay

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wa sasa acheni kukurupukia ndoa

    Sheria ya ndoa inasema mtu anaolewa na miaka mingapi?
  9. Vaislay

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wa sasa acheni kukurupukia ndoa

    Huwezi kuficha tabia kwa sikuzote ipo siku katika tabia mbaya kumi nne utaziona tu, shida watu wanaweka upofu kuona kwa kufunikwa na so called love
  10. Vaislay

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wa sasa acheni kukurupukia ndoa

    Mkuu ukiwa na ndugu anayekutana na changamoto hiyo nadhani inakuwa rahisi kuelewa kuliko simulizi...natumai unandugu pia
  11. Vaislay

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wa sasa acheni kukurupukia ndoa

    Ila kwa kizazi hiki cha sasa, kwa mwarobaini huo ni familia chache tutapata watoto wazuri,
  12. Vaislay

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wa sasa acheni kukurupukia ndoa

    Habari za muda huu wapendwa katika bwana. Naomba niseme hili kwa uchache tu. Mabinti wengi wamekuwa moto mno na kujikuta wanangukia pua wakitangaziwa ndoa na hawa watoto wetu wa kiume wenye mikakati yao, bila kuchukua muda wa kumsoma na kumfahamu muoaji, mwisho wa siku wanatutesa wanandugu...
  13. Vaislay

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

    Hili jambo linapande mbili, Mapenzi na urafiki baina ya mtu na mtu, Kwenye mapenzi mmoja akizingua aende salama "amalize mwendo salama" Hata mimi sijali Lakini kama ni rafiki, nafikiri unahitaji muda zaidi wa kujua kwanini yanatokea hayo, sisi ni binadamu tunabadilika muda wowote si dhambi...
  14. Vaislay

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu hataki niendeshe gari alilonunua. Nakereka sana

    Pambana baba kupunguza dharau ndani ya nyumba
  15. Vaislay

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke kufukua makaburi bila sababu inatokana na nini?

    Tumeumbiwa kusamehe sio kusahau
Back
Top Bottom