Recent content by Uyole CTE

  1. Uyole CTE

    Kimondo cha Mbozi (Mbozi meteorite)

    Kimondo cha Mbozi ni kimondo ambacho kimeanguka kutoka angani karibu na mji wa Vwawa, Kinakadiriwa kuwa na uzito wa zaidi ya tani 12, kilianguka ndolezi, kijiji cha isela wilayani mbozi katika mkoa wa Songwe, Tanzania. Kipo kati ya vimondo vizito kumi (10) vinavyojulikana duniani, kimondo hiki...
  2. Uyole CTE

    Mbuga za wanyama Malema Kilambo Mbeya

    Kwa muda mrefu tulikuwa tunasikia kama simulizi kwa wazee wetu kwamba miaka ya nyuma maeneo haya ya Malema (Kilambo) kulikuwa na mbuga iliyokuwa na wanyama wengi na wa aina mbali mbali kama ilivyo katika Mbuga zingine sasa, Ndipo Uyole cultural tourism enterprises (UCTE) kwa kushirikiana na Chai...
  3. Uyole CTE

    Asili ya neno Mbeya

    Wenyeji ni Wasafwa, wengi hudhani ni wanyakyusa. wanyakyusa ni wenyeji wa Kyela na Rungwe
  4. Uyole CTE

    Asili ya neno Mbeya

    Historia ya mkoa wa Mbeya imegawanyika katika vipindi tofauti tofauti kabla ya uhuru na baada ya uhuru, Mji wa Mbeya ulianzishwa na wakoloni waingereza mnamo mwaka 1927, Wakati huo dhahabu ilianza kupatikana sana katika milima iliyopo karibu na Mbeya hadi Chunya hivyo Mbeya ulikuwa ni mji wa...
  5. Uyole CTE

    KIPANGAMANSI

    Hapa ndio chimbuko la Kanisa la Kiinjili la Kirutheri Tanzania (KKKT) ukanda wa kusini ambayo hapo awali ilifahamika kama synod ya konde. Wamisionari walifika katika fukwe za ziwa Nyasa wakitokea Afrika kusini wakaambaa katika safu za mlima livingstone mpaka wakafika maeneo ya kipangamansi...
  6. Uyole CTE

    Msitu Wa Kuabudia Wa Iganjo

    Msitu huu wa kimila (asili) wa iganjo unapatikana Uyole igawilo Mkoani Mbeya, ni moja kati ya misitu yenye uoto wa asili katika mkoa wa Mbeya, hapo awali msitu huu ulikuwa mkubwa sana kutokana na shughuri za binadamu zinazoendelea kama kilimo na ujenzi umepungua kiasi, msitu huu umezungukwa na...
  7. Uyole CTE

    Uzao wa mapacha katika jamii ya Wanyakyusa

    Katika jamii zetu nyingi za kiafrika mtu au familia ipatapo mtoto huchukuliwa kuwa jambo la heri au Baraka sana katika familia husika, japo ilikuwepo tofauti kubwa endapo mtu ama familia Fulani watabahatika kuzaa watoto mapacha jambo lilikuwa linageuka na kuwa laana/ balaa ama mkosi mkubwa sana...
Back
Top Bottom