Nimesoma vizur,nataka uniambie kipi kilicho kutuma wewe kuandika hii Taarifa uchwala kama si Utumwa na Njaa? Na Je unauhakika Gani kua hao wote mali hiyo si sahii? Na kama si sahihi kwa nini hawakutaifishwa toka kipindi hicho cha Nyerere?
Wewe ni nani mwenye kuwapa Angalizo Watanzania Zidi ya...
Aludi tena Darasani Akasome historia za mataifa makubwa,walipataje maendeleo,,Bila shinikizo la wanaharakati Taifa lolote Duniani haliwezi kupiga hatua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.