Mnaobwabwaja hapa msiojua kitu zaidi ya chuki.
Hii ni ibada ya eid ya kuchinja kutekeleza Sunna ya nabii Ibrahim.
So kuchinja Kwa ajili ya mungu na kwenda kuchinja Kwa ajili ya mizimu bora kupi
Acha matusi wewe pia acha ujinga ng'ombe nchi hii haiwezi kuisha labda itokee janga .
Ng'ombe au mifugo Kwa ujumla ndio biashara inayolipa zaidi katika biashara ya chakula.
Acha roho mbaya hapo hakuna anayeabudu sanamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.