Baada ya hii afcon Samatta na Msuva wastaafu tu kimataifa, hakuna wanachoongeza kwenye hii timu na kiuwezo hawana tofauti na wachezaji wa kawaida wa ligi kuu.
Unapiga long balls kama una target man anayeweza kushinda mipira ya juu kama John Bocco, sio pimbi kama akina Msuva.
Naogopa huyu Morroco na mwenzake hawajui cha kufanya, wameishiwa maarifa
Hivi morroco na Mgunda wanategemea goli litapatikana wapi kama kila tukishambulia hakuna mchezaji ndani ya box la mpinzani?
Tunaishia kubutua na kupoteza mipira tu, hakuna mchezaji anafanya mikimbio nyuma ya defense yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.