Recent content by Utopologist

  1. Utopologist

    FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

    Baada ya hii afcon Samatta na Msuva wastaafu tu kimataifa, hakuna wanachoongeza kwenye hii timu na kiuwezo hawana tofauti na wachezaji wa kawaida wa ligi kuu.
  2. Utopologist

    2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

    Unapiga long balls kama una target man anayeweza kushinda mipira ya juu kama John Bocco, sio pimbi kama akina Msuva. Naogopa huyu Morroco na mwenzake hawajui cha kufanya, wameishiwa maarifa
  3. Utopologist

    2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

    Hivi morroco na Mgunda wanategemea goli litapatikana wapi kama kila tukishambulia hakuna mchezaji ndani ya box la mpinzani? Tunaishia kubutua na kupoteza mipira tu, hakuna mchezaji anafanya mikimbio nyuma ya defense yao
  4. Utopologist

    FT: Simba 2-2 Al Ahly | Benjamin Mkapa Stadium | 20.10.2023 | African Football League

    Arsene Wenger mpaka machozi yamemlenga kwasababu tu ya pira robertino 😢
  5. Utopologist

    FT: Simba 2-2 Al Ahly | Benjamin Mkapa Stadium | 20.10.2023 | African Football League

    Goli Lao la pili ni kama tumewapa zawadi. Kipa na mabeki wote walipoteza concentration
  6. Utopologist

    FT: Simba 2-2 Al Ahly | Benjamin Mkapa Stadium | 20.10.2023 | African Football League

    Kama tuna kipa wa maana tungekuwa tunaongoza 2-1 Goli la kusawazisha la al ahly ni la kizembe sana
  7. Utopologist

    FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

    Tukifungwa leo timu apewe Guadiola At least hatutaona mpira wa hovyo kama huu
  8. Utopologist

    FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

    Tunacheza mpira usioeleweka, Kibu anarukaruka tu uwanjani.
  9. Utopologist

    FT: Simba Day | Simba SC 2-0 Power Dynamos | Benjamin Mkapa | Agosti 6, 2023

    Kwahiyo wewe ungependa atokee kwa Uto sio ?
Back
Top Bottom