Nyinyi hata km mkipewa nchi mtapolwa tu, km vtu vidogo km hiv mmepolwa mkipewa nchi si ndo kabisa.
Heb fafanua vzuri mamlaka yapi muliyopolwa ili tujue
We we siasa inakupeleka pabaya sana km unatetea na upumbavu km huu mtu kapewa nafasi ya kujieleza kaonekana anajikanyaga hana maelezo ya kuridhisha af wewe unamtetea, sidhani km unafikiri kwa kutumia akili
Hiv nani katuloga sisi watz?!!! Kuna maana gani kumfundisha mtoto kwa lugha ya kiswahili kuanzia chekechea mpaka darasa la saba kwa lugha ya kiswahili af akifika secondary unambadilishia lugha ya kujifunzia na kuwa kiingereza hv tunategemea ufanisi utakuwepo kweli?!! Mwanafunzi ataelewa nini km...
Kuna watu vichwa ngumu sana hawaelewi kabisa wanadhani ualimu ni kukaa ubaoni na kuanza kufundisha (lecturing) kumbe sio hivyo kuna vtu vingi vya kufanya naamin non professional teachers hawawez hata kulead discussion darasani hawajui understanding ya wanafunzi inatofautiana, mimi nishawahi...
Nyinyi watu nyie mmekuwa km mnafikiri bila kutumia brain hiv kuwaona wananchi na wakuhoji live uwape majib live on he spot nalo limekuwa kosa kweli hii nchi tunawenda wazmu wengi sana
Alokuwa mtoa rushwa mkuu pale chichiem si ndo yule alohamia kule kwa akina nani hii, mbona yule mkiti wa kile chama cha akina maendeleo alipowachangisha pesa wananchi wa kule kaskazin akiwaahidi kuwa watajenga ofsi ya chama af mpaka sasa hatuoni hata kiwanja hawamuuliz?!! Watu kimya wameufyata...
Usilazimishe machine yako kusimama kwani kufanya hivyo lazma inshu ifeli maana mwl unakuwa hauko tayari kwa wakati huo acha mashine isimame yenyewe hapo utafanya kaz mpaka utachoka mwenyewe
Sasa km watu wanaxingua kwanini wasitumbuliwe?!! Af sasa km hamjui TRA pale kuna mashushushu wanaripoti kwa mkulu kila ovu wanalotaka kulifanya so watu wanataka kuturudisha kule kwa jk acha watumbuliwe tu sasa hv mwendo WA kuisoma namba wote,tumbuaaaaaaaa tumbua
Huyo ni trump mjomba na hii ni ccm huyo bashe yeye ni nani mpaka kila alisemalo liwe sahihi ulishawahi kusikia mtu WA Republican anakikashifu chama au unaongea tu bila kutafakari mjomba?!!! Bashe km anaona chama hakitendi haki njia ni nyeupe asepe, wapo watu waloamn babu yao atashinda matokeo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.