Toka kale kadada kachaguliwe kuwa kaganga kafawidhi, kaliundiwa mitandao mingi sana ili katolewe, kwa sababu hakakutoka miongoni mwa kundi la watu toka njia panda ya Chalinze.
Kenyewe kanacheka nao, kakidhani ni marafiki. Maskini wee. Wenzako walitaka upigwe chini nafasi yako apewe fizishani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.