Recent content by utakuja

  1. utakuja

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Picha hii itakupatia ufafanuzi mzuri zaidi.
  2. utakuja

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hichi ni 3 in 1 maana ndiyo nimekipenda?
  3. utakuja

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Tanzania, Tanzania, nakupenda kwa moyo wote. Walahi nitafunga hiyo ya 150Mbps hata kesho. Watanikoma huko ofisini kwao.
  4. utakuja

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    🤣 Niliona Tiktok mambo anayofanya Savanna Fibre Kenya, ISPs wao hawaamini. Wana offer ya 100Mbps kwa miezi 3 bureee! Ikiisha ndio customer care wanakupigie ndio uanze malipo huo mwezi wa nne
  5. utakuja

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Nimetoka kufanya hii speed test sasa hivi. Hiki ni kifurushi cha Airtel cha 100k. Wananipaga hizo 50 Mbps ingawa nalipia 40 Mbps kwa mwezi. Ndio maana ninashangaa kwa nini Vodacom wanawaibia, kitu ninacholipia laki nyie mnalipia 185k. Hata Halotel Fibre wanatoa 60 Mbps kwa 99k. Mbaya zaidi kwa...
  6. utakuja

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Duh! 50mbps Kwa 185k, 30 Mbps kwa 120k 🤣🤣🤣 Vodacom bhana. Wanaotumia Fibre ya Vodacom wakapimwe akili. Au vifurushi hivi ni Dedicated?
  7. utakuja

    Kuna mpango wa teknolojia ya simu kutumia direct kwenye setelite. Je, TCRA mtaweza kuzima kilichopo juu?

    China na Russia haya mambo wameshayafikiria kwa mfano hapa: Weiterleitungshinweis Iran inatumia hii teknolojia kufanya Starlink isifanye kazi Iran. So hizo simu zitaingia ila siku ya siku wakijisikia kuzifunga, watafunga tu.
  8. utakuja

    PostGE2025 Kwanini Airtel hawafidii zile siku ambazo internet ilizimwa kwa watumiaji wa unlimited internet?

    Hivi mnavyojiungaga na huduma, ile mikataba mnaisomaga kweli? Au mnatia saini na kuchukua kifaa. Kwa mfano mkataba wa Vodacom Supakasi hicho kipengele kipo kabisa (soma 20.1 -2) tena sababu wameiweka vyema tu "Act by national Government", kwamba ikitokea jambo ambalo lipo nje ya uwezo wao basi...
  9. utakuja

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ni mazoea tu Ni mazoea tu. Tutafika muda fibre zitapatikana kila kona, sasa hapo ndiyo watu watajua maisha ya kupimiwa yalikuwa ya shida sana.
  10. utakuja

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kaka nipo hapa ninacheka because matumizi yangu ya siku 5 kwa kifurushi cha Airtel cha unlimited 100k (40mbps) ni kifurushi chake chote cha 100k alichonunua Vodacom. Na mimi hata si mtumiaji mkubwa kiasi hicho. Hivyo, kweli wanapigwa. Na sio kidogo.
  11. utakuja

    Airtel inazidi kutanua soko la Unlimited internet, Vodacom na Tigo wakiendelea kushupaza shingo watastuka soko lishamezwa

    Kwani mkuu hesebu zetu si ni zile zile. Kubadili Mbps (kipimo cha kasi ya mtandao) kuwa MBps (ukubwa halisi wa data utakayopakua kwa sekunde) tunagawa kwa 8. 3 Mbps ÷ 8 = 0.375 MBps au 375 KBps. Hivyo, sote tupo sahihi.
  12. utakuja

    Hizi simu zinashida gani mbona bei kitonga sana

    Kuna mahali nimesoma ya kwamba matapeli huwa wanawekaga makosa madogo ya uandishi au kitahajia (mfano. Huwawei badala ya Huawei) ili kutenga wajinga na werevu. Mwerevu akiona tu hiyo anaendelea na shughuli zake; hata hajiangaishi na hilo chapisho, ila yule mwingine.
  13. utakuja

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Funguka mkuu, experience yako ipoje? Kifurushi unachotumia, kasi unayoipata na kwa siku unatumia gb ngapi.
  14. utakuja

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Duh! Basi kama ni hivyo. Airtel na Vodacom wanamfumo bora zaidi
  15. utakuja

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kwahiyo kama umelipia 100k kwa 20mbps wanakupa 20mbps kwa hizo gb30 au spidi kamili ya 5G inayoweza hata kuvuka 100mbps?
Back
Top Bottom