Recent content by utakuja

  1. utakuja

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kweli, nimepata hope kuwa tunaelekea mwelekeo mzuri. Kwa sasa ninaona ni Vodacom, Yas, Airtel na Zuku ndio bado wanaturudisha nyuma kwenye harakati hizi. Ifike pahala Tanzania kwenye Internet speed test tuwe vinara Afrika.
  2. utakuja

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Issue yangu mimi ni hiyo, 20Mbps kiukweli si spidi ya kuwapatia watu, ilhali nchi ina capacity kubwa mno kwenye Fiber. Tufanye 50Mbps ndio iwe kiwango cha chini kwa bei ya 40k hadi 55k. 15-20Mbps kiwe kifurushi kwa watu wa hali ya chini na bei iwekwe ndogo tuseme 20k Per month. Kila mtu...
  3. utakuja

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Haya sasa tusubiri Halotel ataitikia vipi maana ninajua kabisa Yas na Vodacom wataendelea na bei zao za ajabu.
  4. utakuja

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Picha hii itakupatia ufafanuzi mzuri zaidi.
  5. utakuja

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hichi ni 3 in 1 maana ndiyo nimekipenda?
  6. utakuja

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Tanzania, Tanzania, nakupenda kwa moyo wote. Walahi nitafunga hiyo ya 150Mbps hata kesho. Watanikoma huko ofisini kwao.
  7. utakuja

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    🤣 Niliona Tiktok mambo anayofanya Savanna Fibre Kenya, ISPs wao hawaamini. Wana offer ya 100Mbps kwa miezi 3 bureee! Ikiisha ndio customer care wanakupigie ndio uanze malipo huo mwezi wa nne
  8. utakuja

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Nimetoka kufanya hii speed test sasa hivi. Hiki ni kifurushi cha Airtel cha 100k. Wananipaga hizo 50 Mbps ingawa nalipia 40 Mbps kwa mwezi. Ndio maana ninashangaa kwa nini Vodacom wanawaibia, kitu ninacholipia laki nyie mnalipia 185k. Hata Halotel Fibre wanatoa 60 Mbps kwa 99k. Mbaya zaidi kwa...
  9. utakuja

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Duh! 50mbps Kwa 185k, 30 Mbps kwa 120k 🤣🤣🤣 Vodacom bhana. Wanaotumia Fibre ya Vodacom wakapimwe akili. Au vifurushi hivi ni Dedicated?
  10. utakuja

    JamiiForums Tanzania Kuna mpango wa teknolojia ya simu kutumia direct kwenye setelite. Je, TCRA mtaweza kuzima kilichopo juu?

    China na Russia haya mambo wameshayafikiria kwa mfano hapa: Weiterleitungshinweis Iran inatumia hii teknolojia kufanya Starlink isifanye kazi Iran. So hizo simu zitaingia ila siku ya siku wakijisikia kuzifunga, watafunga tu.
  11. utakuja

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwanini Airtel hawafidii zile siku ambazo internet ilizimwa kwa watumiaji wa unlimited internet?

    Hivi mnavyojiungaga na huduma, ile mikataba mnaisomaga kweli? Au mnatia saini na kuchukua kifaa. Kwa mfano mkataba wa Vodacom Supakasi hicho kipengele kipo kabisa (soma 20.1 -2) tena sababu wameiweka vyema tu "Act by national Government", kwamba ikitokea jambo ambalo lipo nje ya uwezo wao basi...
  12. utakuja

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ni mazoea tu Ni mazoea tu. Tutafika muda fibre zitapatikana kila kona, sasa hapo ndiyo watu watajua maisha ya kupimiwa yalikuwa ya shida sana.
  13. utakuja

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kaka nipo hapa ninacheka because matumizi yangu ya siku 5 kwa kifurushi cha Airtel cha unlimited 100k (40mbps) ni kifurushi chake chote cha 100k alichonunua Vodacom. Na mimi hata si mtumiaji mkubwa kiasi hicho. Hivyo, kweli wanapigwa. Na sio kidogo.
  14. utakuja

    JamiiForums Tanzania Airtel inazidi kutanua soko la Unlimited internet, Vodacom na Tigo wakiendelea kushupaza shingo watastuka soko lishamezwa

    Kwani mkuu hesebu zetu si ni zile zile. Kubadili Mbps (kipimo cha kasi ya mtandao) kuwa MBps (ukubwa halisi wa data utakayopakua kwa sekunde) tunagawa kwa 8. 3 Mbps ÷ 8 = 0.375 MBps au 375 KBps. Hivyo, sote tupo sahihi.
  15. utakuja

    JamiiForums Tanzania Hizi simu zinashida gani mbona bei kitonga sana

    Kuna mahali nimesoma ya kwamba matapeli huwa wanawekaga makosa madogo ya uandishi au kitahajia (mfano. Huwawei badala ya Huawei) ili kutenga wajinga na werevu. Mwerevu akiona tu hiyo anaendelea na shughuli zake; hata hajiangaishi na hilo chapisho, ila yule mwingine.
Back
Top Bottom