🤣 Niliona Tiktok mambo anayofanya Savanna Fibre Kenya, ISPs wao hawaamini. Wana offer ya 100Mbps kwa miezi 3 bureee! Ikiisha ndio customer care wanakupigie ndio uanze malipo huo mwezi wa nne
Nimetoka kufanya hii speed test sasa hivi. Hiki ni kifurushi cha Airtel cha 100k. Wananipaga hizo 50 Mbps ingawa nalipia 40 Mbps kwa mwezi.
Ndio maana ninashangaa kwa nini Vodacom wanawaibia, kitu ninacholipia laki nyie mnalipia 185k.
Hata Halotel Fibre wanatoa 60 Mbps kwa 99k. Mbaya zaidi kwa...
China na Russia haya mambo wameshayafikiria kwa mfano hapa: Weiterleitungshinweis
Iran inatumia hii teknolojia kufanya Starlink isifanye kazi Iran. So hizo simu zitaingia ila siku ya siku wakijisikia kuzifunga, watafunga tu.
Hivi mnavyojiungaga na huduma, ile mikataba mnaisomaga kweli? Au mnatia saini na kuchukua kifaa.
Kwa mfano mkataba wa Vodacom Supakasi hicho kipengele kipo kabisa (soma 20.1 -2) tena sababu wameiweka vyema tu "Act by national Government", kwamba ikitokea jambo ambalo lipo nje ya uwezo wao basi...
Kaka nipo hapa ninacheka because matumizi yangu ya siku 5 kwa kifurushi cha Airtel cha unlimited 100k (40mbps) ni kifurushi chake chote cha 100k alichonunua Vodacom.
Na mimi hata si mtumiaji mkubwa kiasi hicho. Hivyo, kweli wanapigwa. Na sio kidogo.
Kwani mkuu hesebu zetu si ni zile zile. Kubadili Mbps (kipimo cha kasi ya mtandao) kuwa MBps (ukubwa halisi wa data utakayopakua kwa sekunde) tunagawa kwa 8.
3 Mbps ÷ 8 = 0.375 MBps au 375 KBps.
Hivyo, sote tupo sahihi.
Kuna mahali nimesoma ya kwamba matapeli huwa wanawekaga makosa madogo ya uandishi au kitahajia (mfano. Huwawei badala ya Huawei) ili kutenga wajinga na werevu. Mwerevu akiona tu hiyo anaendelea na shughuli zake; hata hajiangaishi na hilo chapisho, ila yule mwingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.