Recent content by usimamizi mbaya

  1. U

    PreGE2025 Team Mbowe hadi leo hii hawajawaambia Wanachadema wanaenda kufanya nini wakipewa nafasi

    Eti yericko na Ntobi ndiyo wanaenda kwenye mdahalo😄😄
  2. U

    Freeman Mbowe kuzungumza na Taifa Ijumaa, Januari 10, 2025

    Na taifa tena!!! Mambo moto sana
  3. U

    Katika Kanda 10 za CHADEMA, Lissu anaweza kuambulia kura kutoka maeneo gani?

    Lissu the great.huyo wa kutowa 250 anaruhusu mianya ya rushwa.
  4. U

    Katika Kanda 10 za CHADEMA, Lissu anaweza kuambulia kura kutoka maeneo gani?

    Mwamba ameshaweka250 million unadhani itakuwaje hapo.!!
  5. U

    PreGE2025 CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinana

    Mambo yanazidi hii si ndiyo siku ya mdahalo Chadema??
  6. U

    Eti utasikia mzazi anawambia wanaye, "msitoke hapa niwakute..."

    Mzazi anasema mimi naenda mahala fulani msitoke hapa niwakute mnaangalia TV. Mzazi huyu anaongea ilimradi tu bila kujuwa madhara ya watoto kukaa muda mrefu. Nyumba za sasa choo nazo ndani unakuta watoto na wazazi wameamka akitoka chooni yupo kwenye tv na watoto kuchek season huku ni kuharibu...
  7. U

    Ipo wapi Haki ya aliyeingizwa Chupa sehemu za siri Babati?

    Wakili Madeleka anaendelea kupigania haki ya dogo.
  8. U

    Watanzania wengi wakishajenga nyumba ya kuishi wanaona wamemaliza ndoto

    Hao hawatakuwa wamekosea bali wametimiza hitaji muhimu.
  9. U

    Watanzania wengi wakishajenga nyumba ya kuishi wanaona wamemaliza ndoto

    Utofauti Utofauti ni mwamba mi siamini kujenga nyumba moja na kurelax ni maendeleo,bali kuendelea kutafuta hela unafanya vitu tofauti zaidi ndiyo maendeleo.
  10. U

    Watanzania wengi wakishajenga nyumba ya kuishi wanaona wamemaliza ndoto

    Kumbe Kumbe unapambana kujenga zaidi hapo sawa
  11. U

    Watanzania wengi wakishajenga nyumba ya kuishi wanaona wamemaliza ndoto

    Kujenga nyumba1 si kupoteza meelekeo.Bali kujenga nyumba moja ni hitaji muhimu si mwendelezo.
Back
Top Bottom