Recent content by ushuhudaunaoishi

  1. U

    PostGE2025 Uongozi unaweza kuwa halali Kisheria, lakini ukakosa uhalali wa kijamii

    Historia inaonesha uongozi unaweza kuwa halali Kisheria lakini ukakosa uhalali wa kijamii Takribani miezi minne baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Tanzania inakabiliana na kipimo halisi cha demokrasia yake na uwezo wa upinzani kuwakilisha sauti za wananchi. Kwa mujibu wa utafiti wa...
  2. U

    PostGE2025 Kilichotokea Uchaguzi wa 2025 kinatoa taswira mabadiliko ya Kisiasa na Demokrasia si Sanduku la Kura kwa sasa

    Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi Mwaka 1992, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kushika hatamu za uongozi wa Dola ya Tanzania. Baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2025, chama hicho kimeendelea kuwa madarakani, hali inayoendelea kuzua mjadala mpana ndani na nje ya Mitandao ya Kijamii kuhusu...
  3. U

    KERO Maisha ya Watendaji wa Serikali za Mtaa baada ya Oktoba 29, bado ni yaleyale, hakuna uwajibikaji stahiki

    Maisha ya Watendaji wa Serikali za Mtaa baada ya Baada ya Oktoba 29, bado ni yaleyale, hakuna uwajibikaji stahiki “Effects” au matokeo ya kilichotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 kinaonesha kuwa kimekusa utendaji wa Serikali za Mtaa kwa asilimia kubwa. Hapa kwetu Dodoma hali...
  4. U

    Maisha ya Watendaji wa Serikali za Mtaa baada ya Baada ya Oktoba 29, bado ni yaleyale, hakuna uwajibikaji stahiki

    Maisha ya Watendaji wa Serikali za Mtaa baada ya Baada ya Oktoba 29, bado ni yaleyale, hakuna uwajibikaji stahiki “Effects” au matokeo ya kilichotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 kinaonesha kuwa kimekusa utendaji wa Serikali za Mtaa kwa asilimia kubwa. Hapa kwetu Dodoma hali...
  5. U

    KERO Wasimamizi wa Vyoo Halmashauri ya Ilala tunasumbuliwa kwenye malipo yetu na vitendea kazi

    Nina kero inayohusu Halmashauri ya Jiji au Halmashauri ya Ilala, sisi Vibarua tunaosimamia Vyoo vya Halmashauri ya Jiji tunacheleweshewa mishahara mara kwa mara na hatuzingatiwi na Viongozi wa Juu licha ya kuwa kazi tunayofanya ni ngumu. Wakubwa wao wanachojali ni mapato tu hawajali kuhusu...
  6. U

    PostGE2025 Viongozi watambue Gen Z sio vijana wa Mwaka 47, waache ‘siasa za kizamani’

    Tuendelee kupambania maslahi ya nchi tutafika kwenye n
  7. U

    PostGE2025 Viongozi watambue Gen Z sio vijana wa Mwaka 47, waache ‘siasa za kizamani’

    Tanzania ipo katika zama ambapo Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ni kiini cha mijadala ya Kisiasa, uwajibikaji na matumizi ya haki za kiraia. Takwimu za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zinaonesha kuna ongezeko kubwa la watumiaji intaneti nchini, kufikia robo ya kwanza ya...
Back
Top Bottom