Recent content by USHINDI MKUU

  1. USHINDI MKUU

    SoC04 Suluhu ya Ushoga nchini; Historia yangu binafsi na mbinu mbadala

    Asante sana Chief. Naungana na wewe kusisitiza kuwa ni vyema sasa serikali ianze kulitazama hili jambo katika jicho la tofauti kuwanasua vijana waliozama katika janga hili.
  2. USHINDI MKUU

    SoC04 Suluhu ya Ushoga nchini; Historia yangu binafsi na mbinu mbadala

    Anashabikia bullying, ni kitu kibaya sana.
  3. USHINDI MKUU

    SoC04 Suluhu ya Ushoga nchini; Historia yangu binafsi na mbinu mbadala

    Unaweza ukaandika uzi wa kushauri kuhusu hiyo sheria kali. Mimi maoni yangu ni haya, hayabadiliki. Kama haujayapenda basi tumshukuru Mungu. Ndio demokrasia hiyo. Na by the way, hiyo "sheria kali" unayoitaka mbona ipo? Haujasoma sheria za nchi? imesaidia nini? Utawafunga watoto wadogo jela...
  4. USHINDI MKUU

    SoC04 Suluhu ya Ushoga nchini; Historia yangu binafsi na mbinu mbadala

    Mbinu nilizozitumia nimezitaja kama kweli umenisoma vema mkuu. Na nimetoa ushauri jinsi ya kufanya. Ushauri kwa wazazi, jamii na serikali. Tukijikite katika hayo, ni ya muhimu zaidi.
  5. USHINDI MKUU

    SoC04 Suluhu ya Ushoga nchini; Historia yangu binafsi na mbinu mbadala

    Mheshimiwa amenielewa, na yeye ndiye mwenye mamlaka katika serikali naamini anajua cha kufanya. Wewe endelea kutukana na kutoa laana, sisi tunasonga mbele katika kulisaidia taifa.
  6. USHINDI MKUU

    SoC04 Suluhu ya Ushoga nchini; Historia yangu binafsi na mbinu mbadala

    Ni kweli. Hata mimi nililelewa na baba na mama lakini haikusaidia sana. Kuna mambo mengi zaidi ambayo wazazi wote kwa pamoja wanapaswa kuyatilia mkazo katika malezi ya mtoto. Kuna watoto wamelelewa na mama tu lakini hawana changamoto yoyote ya aina hii. Umakini unahitajika zaidi, na kudra za...
Back
Top Bottom